huyo ana kesi ya kujibu toka kwangu....
hawezi kuniacha dadake naumbuka tu hapa
sasa ndo umejua eh?
aaaaah wapi!? Nani wakumtunza kwanza? Anataka aige matunzo ya Arushaone?
jamani, kwani huwezi kuninong'oneza bila mimi kuanza kukuPM? wewe ninong'oneze tu shem huko PM nitasikia
nasubiri PM yako ujue!Fixed Point mbona hujaniPM?
ndiyo ninalo kwani hulioni? Halafu sitaki umbea!!!!!
Bishanga kule kuna kibao cha karibu....kama ulikuwepo Heaven on earth......kuoga nakalishwa kwenye kigoda
Cc: Madame B.....mambo ya majani mapana hayo!
TheDealer sasa unataka kufanya kweli?
Fixed Point roho yangu imeanza kukudondokea!
Passion Lady na loya Ruttashobolwa waoane basi tujue moja
shem shem..... usimwongezee pressure dadangu MamndenyiFixed Point roho yangu imeanza kukudondokea!
Ha! Passion Lady?
tushaoana na ndio sababu nimebadilishwa
jina nikaitwa dismynder1!!