kapo feki na za ukweli cc hizi hapa

Bishanga sasa ivi naona kama sio taifa queen ni twiga staz
au nadhani kutokana na anavyoendelea sioni shaka kumwita king Mswati wa CC
au unamuiga Madame B kuanzisha saccos?
 
Last edited by a moderator:
Chimbuvu jukumu lako ni kulinda mali yako kwa gharama zote hata kama ni kumwaga damu na imwagike na mimi niko lazi ninyofolewe kucha katika kuhakikisha huzulumiwi mtoto maana ni damu yako....aluta!
Cc: Lady doctor

hivi Bishanga, Arushaone kakufanya nini, mbona unaniletea visa hiviii? Nimeshasema hiki kizygot ni cha mume wangu Arushaone peke yake.
 
Last edited by a moderator:
Ebu tupishe siye...!! couple ni yako ukiwa kwako na mkeo, mbona mi nimenyamaza na njiwa wako yule wa juzi nimtaje nisimtaje?!!
Mengine hayakuhusu
 
Ebu tupishe siye...!! couple ni yako ukiwa kwako na mkeo, mbona mi nimenyamaza na njiwa wako yule wa juzi nimtaje nisimtaje?!!
Mengine hayakuhusu
Mmmmmhhhhhh
 

Mkuu Bishanga a.k.a bepariiiiii..... Umesahau kapo ya ukwenhe isio na mwisho kama bahari... Kapo ya C6 na charminglady..... Hahaaaa....

Jeuri hamna mtabaki kuguna
 
Last edited by a moderator:
Duuuh! Kumbe watu wapo serious humu...smfh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…