Kapombe ana mengi ya kujifunza Kwa Dickson Job

Kapombe ana mengi ya kujifunza Kwa Dickson Job

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Mlinzi wa Timu ya Taifa Stars, Dickson Job amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mchezo kati ya Tanzania dhidi ya wenyeji Uganda The Cranes uliopigwa katika dimba la Suez Canal, Ismailia Misri.

Stars iliibuka na ushindi wa 1-0 huku Simon Msuva alifunga bao pekee akiunganisha krosi iliyomiminwa nyota wa mchezo Job kutoka upande wa kulia wa uwanja mnamo dakika ya 68 ya mchezo.

Kwa ushindi huo Stars imekwea mpaka nafasi ya pili ikiwa na alama 4 baada ya mechi tatu nyuma ya kinara Algeria mwenye alama 9 baada ya mechi tatu.

Niger inashika nafasi ya tatu ikiwa na alama mbili huku majirani Uganda wakiburuza mkia alama 1 baada ya mechi tatu.

Fact kuhusu huyu mwamba

-Licha ya kuchezeshwa nje ya position yake lakn bdo kaonesha kiwango kizur ndan ya mchezo bgap sanaaaa

-Huyu dick Kwa alivyokuwa anajua kupiga pasi hata akicheza Tisa kumi uhakika anajua dogo huyu mpira
1679723305500.jpg
 
[emoji408] IBRAHIM HAMAD (BACCA) vs. UGANDA [emoji1254]

[emoji820] Touches 63
[emoji820] Accurate Passes 37/44 (84.1%)
[emoji820] Duels won - 6/6
[emoji820] Clearances 8
[emoji820] Headed Clearances 4
[emoji820] Was Fouled (5)
[emoji820] Long Balls Acc 7(3)
[emoji820] 2 interceptions
[emoji820] 5 ball recoveries

TOA RESPECT KWA BACCA 🫡 THE FUTURE IS HERE
1679723662519.jpg
 
Mlinzi wa Timu ya Taifa Stars, Dickson Job amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mchezo kati ya Tanzania dhidi ya wenyeji Uganda The Cranes uliopigwa katika dimba la Suez Canal, Ismailia Misri.

Stars iliibuka na ushindi wa 1-0 huku Simon Msuva alifunga bao pekee akiunganisha krosi iliyomiminwa nyota wa mchezo Job kutoka upande wa kulia wa uwanja mnamo dakika ya 68 ya mchezo.

Kwa ushindi huo Stars imekwea mpaka nafasi ya pili ikiwa na alama 4 baada ya mechi tatu nyuma ya kinara Algeria mwenye alama 9 baada ya mechi tatu.

Niger inashika nafasi ya tatu ikiwa na alama mbili huku majirani Uganda wakiburuza mkia alama 1 baada ya mechi tatu.

Fact kuhusu huyu mwamba

-Licha ya kuchezeshwa nje ya position yake lakn bdo kaonesha kiwango kizur ndan ya mchezo bgap sanaaaa

-Huyu dick Kwa alivyokuwa anajua kupiga pasi hata akicheza Tisa kumi uhakika anajua dogo huyu mpiraView attachment 2564610
Very true...
 
Mlinzi wa Timu ya Taifa Stars, Dickson Job amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mchezo kati ya Tanzania dhidi ya wenyeji Uganda The Cranes uliopigwa katika dimba la Suez Canal, Ismailia Misri.

Stars iliibuka na ushindi wa 1-0 huku Simon Msuva alifunga bao pekee akiunganisha krosi iliyomiminwa nyota wa mchezo Job kutoka upande wa kulia wa uwanja mnamo dakika ya 68 ya mchezo.

Kwa ushindi huo Stars imekwea mpaka nafasi ya pili ikiwa na alama 4 baada ya mechi tatu nyuma ya kinara Algeria mwenye alama 9 baada ya mechi tatu.

Niger inashika nafasi ya tatu ikiwa na alama mbili huku majirani Uganda wakiburuza mkia alama 1 baada ya mechi tatu.

Fact kuhusu huyu mwamba

-Licha ya kuchezeshwa nje ya position yake lakn bdo kaonesha kiwango kizur ndan ya mchezo bgap sanaaaa

-Huyu dick Kwa alivyokuwa anajua kupiga pasi hata akicheza Tisa kumi uhakika anajua dogo huyu mpiraView attachment 2564610

Ni Nadhani Job Ndio ajifunze kwa Kapombe. Kaombe anastaaf

Kapombe Yuko kwenye Kikosi Bora Cha week Cha CAF
 
Back
Top Bottom