Kapombe kawa uchochoro

Kapombe kawa uchochoro

Mi naona kapombe na tshabalala waanze kuwekewa sub zao wawe wanapumzika from time to time
 
Hajafurukuta kivipi wakati katengeneza nafasi nyingi

Ama hatujui maana ya Kufurukuta ?

Ama hatujui Percy tau anacheza nafasi gani uwanjani na majukumu yake ni kufanya nini uwanjani ?
Kuna watu humu walikua wanasema atatukanda bao za kutosha...ndo nauliza mbona sijayaona?
 
Sijui ni mimi tu ninaye liona tatizo hili lililopo Simba, kiufupi Kapombe amekuwa tatizo kwenye safu ya ulinzi ya Simba.

Sijui ni kiwango kushuka au kuna mambo hayamuendei sawa kwenye familia yake, katika siku za hivi karibuni amekuwa na pafomans mbovu kabisa.

Hata mechi ya leo magoli yote yaliyo fungwa leo ni matokeo yake kutotimiza majukumu yake kwa wakati sahihi kwenye nafasi yake, na pia Inonga kamfichia makosa yake mengi leo.
Kwa Jana alipwaya
 
Sio kwamba kwasababu ni timu waliocheza nayo ina kasi na mbinu tofauti
 
Labda tatizo ni Fatigue
Hata Mimi nahisi Hilo .....sidhani kama kiwango kwamba ndo ameisha hapana .....

Japo yote Kwa yote binafsi,naona ni madhaifu tu ya timu nzima hasa kipindi tunapopoteza mpira sababu namna wanavyocheza ndivyo full beki za kisasa zinavyopaswa kucheza .........
timu kama timu watu ni wazito kurudi kwa haraka na kucover zile nafasi ambazo muda Hawa wakipanda ........wachezaji wazito sana ..
 
Back
Top Bottom