Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Siyo sawa kabisa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] kwahiyo sasa itakuwaje ?
Sa nn kifanyike mkuu!!Wadau hamjamboni nyote?
Nimeumia Sana
Yanga kutoa wachezaji 7 huku Simba ikitoa wachezaji 3 Hii siyo fair kisoka
Yaani Kagera sugar inatoa wachezaji 4 huku Simba ikitoa 3??
ATTACH=full]2548998[/ATTACH]
Safi sana.Wadau hamjamboni nyote?
Nimeumia Sana
Yanga kutoa wachezaji 7 huku Simba ikitoa wachezaji 3 Hii siyo fair kisoka
Yaani Kagera sugar inatoa wachezaji 4 huku Simba ikitoa 3??
ATTACH=full]2548998[/ATTACH]
Kazeeka huyo,toka 2013 yupo starsKwa Shabalala ni pengo,kocha ajitathmini. Asuburie lawama za wabongo tukifungwa.
Ana kitu,akionekana hafai atakaa benchi,Ila sidhani Kama hafanyi mazoeziHuyo Feisal ana karibu miez mi4 nje ya uwanja unamchagua kwa kigezo kipi?
Uwezo wake uwanjaniHuyo Feisal ana karibu miez mi4 nje ya uwanja unamchagua kwa kigezo kipi?
Hii list ninamashaka nayo, sammata krc Genk kweli?Huyo Feisal ana karibu miez mi4 nje ya uwanja unamchagua kwa kigezo kipi?
Michezo iko kwenye Ilani ya CCM!Huu uzi hapa sio mahali pake,mods upeleke panapo husika.
Faida kwa Simba..acha wachezaji wetu waweke akili kwenye mashindano yetu ya kimatiafaWadau hamjamboni nyote?
Nimeumia Sana
Yanga kutoa wachezaji 7 huku Simba ikitoa wachezaji 3 Hii siyo fair kisoka. Yaani Kagera sugar inatoa wachezaji 4 huku Simba ikitoa 3?? Unamuachaje Sure Boy!??
View attachment 2548998