Kapombe na Shabalala waachwa Timu ya Taifa huku Yanga ikitoa wachezaji saba

Kapombe na Shabalala waachwa Timu ya Taifa huku Yanga ikitoa wachezaji saba

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote?

Nimeumia Sana

Yanga kutoa wachezaji 7 huku Simba ikitoa wachezaji 3 Hii siyo fair kisoka. Yaani Kagera sugar inatoa wachezaji 4 huku Simba ikitoa 3?? Unamuachaje Sure Boy!?? Unamuachaje Mzize?

1678709673972.jpg
 
Tatizo liko wapi ?unazani Simba wanalalamikaga ovyo kama uto
 
Faida kwa Simba hapo.uko timu ya taifa kunanini cha maana zaidi ya kupeana majeraha tu!,Simba ina face cafcl na super caf ni vema ikiwa na wachezaji wake muhimu.
 
Hata tuna ya timu ya taifa, tusijifariji hao walioitwa ni sawa na wale ambao hawajaitwa, hawatakuwa na ajabu lolote.
 
Dah! Kweli Tanzania tuna uhaba wa wachezaji kwenye timu ya Taifa!

Yaani hadi Fei Toto, aliyetoroka kwenye timu yake naye ameitwa!
 
Back
Top Bottom