Kapombe na Shabalala waachwa Timu ya Taifa huku Yanga ikitoa wachezaji saba

Sie Simba tumefurahi wachezaji wetu wapumzike
 
Mzamiru kila siku.
Hawa kina aziz andambwile, hassan nasoro,kelvin nashon, baraka majogoro wataandaliwa lini..?
 
Duuuh sure boy nje??

Mimi ni Simba...ila unamuachaje Mzize?? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hata Manula , kakolanya na Mzamiru ni vema wangeachwa tu kwenye hicho kikosi chenu Maana huko ni kutiana majeraha tu na baadae kuachwa wakiuguza majeraha bila msaada.
 
Wamecheza miaka yote wametufanyia nin chamaana
 
Yanga kutoa wachezaji 7 huku Simba ikitoa wachezaji 3 Hii siyo fair kisoka. Yaani Kagera sugar inatoa wachezaji 4 huku Simba ikitoa 3?? Unamuachaje Sure Boy!?? Unamuachaje Mzize?
Ni kawaida kwa timu inayochezesha wageni wengi kutoa wachezaji wachache wa timu ya Taifa. Hii ilikuwa ikiitokea TP Mazembe ya enzi hizo, unakuta Mazembe anachukua ubingwa wa Afrika lakini kwa wachezaji wazawa anazidiwa na DC Motema Pembe na Vita Club, maana wao walikuwa wanachezesha wazawa wengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…