Supu ya kokoto
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,194
- 7,602
Naona tumeanza kuokoteza wachezaji wa ndondo za nje. Huyu kocha hamnamo kitu.Wadau hamjamboni nyote?
Nimeumia Sana
Yanga kutoa wachezaji 7 huku Simba ikitoa wachezaji 3 Hii siyo fair kisoka. Yaani Kagera sugar inatoa wachezaji 4 huku Simba ikitoa 3?? Unamuachaje Sure Boy!??
View attachment 2548998
Bila Mzize timu bado hapo.Wadau hamjamboni nyote?
Nimeumia Sana
Yanga kutoa wachezaji 7 huku Simba ikitoa wachezaji 3 Hii siyo fair kisoka. Yaani Kagera sugar inatoa wachezaji 4 huku Simba ikitoa 3?? Unamuachaje Sure Boy!??
View attachment 2548998
Mpaka wamzidi kiwango mzamiru ila kwa sasa badoMzamiru kila siku.
Hawa kina aziz andambwile, hassan nasoro,kelvin nashon, baraka majogoro wataandaliwa lini..?
Ni kawaida kwa timu inayochezesha wageni wengi kutoa wachezaji wachache wa timu ya Taifa. Hii ilikuwa ikiitokea TP Mazembe ya enzi hizo, unakuta Mazembe anachukua ubingwa wa Afrika lakini kwa wachezaji wazawa anazidiwa na DC Motema Pembe na Vita Club, maana wao walikuwa wanachezesha wazawa wengiYanga kutoa wachezaji 7 huku Simba ikitoa wachezaji 3 Hii siyo fair kisoka. Yaani Kagera sugar inatoa wachezaji 4 huku Simba ikitoa 3?? Unamuachaje Sure Boy!?? Unamuachaje Mzize?