The Big Brain
Member
- Mar 8, 2023
- 24
- 38
Manula hamna kitu pale ni shati tu, Kapombe nae sijui aliingia kufanya nini anakimbiza adui kama yupo kwenye mchakamchaka!
Safu ya nyuma iliyocheza kule Misri ingeachwa vilevile.[emoji57][emoji57] zimbwe yy aliona kuna msala akaomba sub mapema[emoji3063]
Safu ya nyuma iliyocheza kule Misri ingeachwa vilevile.[emoji57][emoji57] zimbwe yy aliona kuna msala akaomba sub mapema[emoji3063]