Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
insta 360 pro hiooNadhani hiyo ni Gopro.
Huyu Dada angekutana na mimi ningemwambia Utingo wangu aipakie hiyo Pikipiki halafu yeye ningemwambia haya Mapori yetu hapa Tanzania ni hatari sana ningempeleka hadi Mpanda.nyoka wa kawaida kabisa huyo
ila huyo muha kacha pesa kijinga kabisa angemsindikiza huwenda hata angekula tunda kimasihara
kijana kashindwa kutumia fursa ndio shida ya kukaa eneo mojaHuyu Dada angekutana na mimi ningemwambia Utingo wangu aipakie hiyo Pikipiki halafu yeye ningemwambia haya Mapori yetu hapa Tanzania ni hatari sana ningempeleka hadi Mpanda.
lugha ndio ilimpiga chengaHuwezi kujua machale yake, huenda wangefika muda mbaya Mpanda akakosa na Condom wakalala kavu kavu akajizolea Ngoma akajanayo Nyumbani.
Babu yako alitaka tusijue Kiingereza.lugha ndio ilimpiga chenga
Kifutu/puff aderYule nyoka mnene, mfupi na asiye na mkia mrefu anaitwaje. Ni mtulivu sana lakini inasemekana akikuuma unakufa haraka na ukipona sehemu aliyouma inaoza.
Anaitwaje yule nyoka.
zama hizi za utandawazi kujifunza lugha ni rahisi sanaBabu yako alitaka tusijue Kiingereza.
Huyu ni Mwanamama wa Kinaijeria mwenye Travel Blogg inayoenda kwa Jina la Go.Ebaide huko You Tube, anazunguka Afrika kwa kutumia Pikipiki na sasa yuko Tanzania, wakati akitokea Kigoma kuelekea Mpanda amekoswakoswa kugongwa na Koboko mwenye hasira sana aisee!!..
Anabahati sana aisee!!!...
View: https://youtu.be/vNfcf5-FX5Q?si=cNb8ezJGtIsQJvNC
View: https://youtu.be/_i0ABGNY-_k?si=tSKOniq_7KCAEqDD
Thanks!Kifutu/puff ader
Koboko manyara ipi boss? Au unachanganya mafailiKwa wa mjini hii kitu ni hatari mno , ila kwa sisi vijana tulio kulia manyara miaka ya 90 hivi vitu ni vya kawaida mno
Nasikia pia ukimjeruhi hakuachi hadi alipe kisasiAnakukimbiza ukiwa unaenda kwa miguu.