Kaptula la Marx: Unafahamu kwanini kitabu hiki kilipigwa marufuku? Waandishi wetu na Siasa zetu

Nyie mnayatambua haya sababu macho yenu yanaona. SOCRATES aliwahi kuwa anatembea na TAA kubwa mchana wa jua kali.lets say saa sita. Watu wakamwona kuwa ni chizi. But aligundua wengi hawaoni ingawa wana macho. Akaamua kuwamulikia bado hawakuona

 
Bila shaka nawe umesoma wakati elimu ilipokuwa elimu.

 
Bila shaka nawe umesoma wakati elimu ilipokuwa elimu.
hapana boss nimeidokoa huko wikipedia baada ya kuusoma huu uzi...japo nami nimwesoma zama za vitabu visivyo na rangi wala picha......
 
Hakijaharibika kitu.bado una damu ya kizazi kinachopenda kusoma. Hongera sana
hapana boss nimeidokoa huko wikipedia baada ya kuusoma huu uzi...japo nami nimwesoma zama za vitabu visivyo na rangi wala picha......
 
Tatizo hivi vitabu sijawahi ona Soft copy zake kitu kinachoongeza kutokupatina.
 
Kuna Wakati nilisikia kuwa Kezilahabi ni mgonjwa WA akili... Sijui ilikua kweli
Kila kitu kina ukomo wa kukitumia...ukizidisha tatizo..! HUYU MZEE WETU NAKIRI ALITUMIA AKILI ZAKE KUPITA MAELEZO ...halafu pana watu WAKAMKATILI...pengine kweli ZIKAPATA UGONJWA[emoji848]
 
Kaptula la Marx ni tamthiliya iliyoandikwa na Prof. E. Kezilahabi kuelezea hali za siasa katika muda wake.

Aliona kiongozi wa muda wake (Kwenye tamthiliya alimuita Rais Kapela) kuwa kaptula la Marx linampwaya kabisa.

Uongozi wa wafia kaptula la Marx bado upo, lakini hivi sasa nawaona wanaendelea kulitukuza kaptula la marx, japo nawaona kuwa wameivua kabisa.

Naongea na wanafasihi.
 
Naongea na wanafasihi [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Wanafasihi wa leo wamekuwa wachumia tumbo na waimba mapambio ya kusifu na kuabudu... HAWANA JIPYA TENA...!!!!
 
Aliona mbali mwandishi

Mfano leo hii kuna vyama vya upinzani hata haviwezi kujiongoza ati wanataka kuongoza Nchi!! Nchi gani waongoze sasa?
Waendelee kujifariji tu
 

Rosa Misitika nakikumbuka kwakuwa kilisikitisha sana sana! Jama alivyoishia na Rosa ambaye hakuwahi hata kumgusa!

Any way, kwawanaosema Mwl alikuwa dikteta warejee jinsi alivyokuwa anawavumilia wakosoaji wake, nakumbuka hata maandishi mengi ya Ndimara Tegambwage pia ylimkosoa Mwl sana tu(Rejea Duka la Kaya) lkn bado kitabu hicho kilitumika hadi mashuleni wakati huo.

Tujilinganishe na awamu hii, waandishi kama Ngurumo hadi wamekimbia nchi, wabunge wanapigwa risasi hadharani kisa tu fikra mbadala!
 
vipi tukikwea bombadia au itapotea angani
 
vipi tukikwea bombadia au itapotea angani
Kama bombadia itarahisisha matumizi ya njia ya 'shoti kati' tuitumia. Na tukiitumia 'mbombadia', nakuhakikishia hakuna kitakachoipoteza huko angani. We mean it!! Na tusikilizwe na tueleweke hivyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…