Kapuya, hii kali...! Ipe maneno picha hii

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
JAMANI NAFIKIRI KILA MTU AKIWEKA

SENTENSI YAKE INAYOFANANA NA PICHA HII
ITAKUWA VIZURI.....LOL

 
Sioni picha mkuu! Natamani kuiona ili niweke sentence yangu.
 
Hiyo hapo......lol

mimi nimebaki speechless lol

nimecheka mpaka basi....lol
 
Wacha amalizie uhondo wake. Mambo binafsi hayajengi taifa!!!
 
Nimesema sentensi.hata yako ni sentensi pia...
 
Naona kimoyomoyo anasema....

Wacha nijinafasi...kama uwaziri nishatemwa,masha yenyewe mafupi..lol
 
Wekeni sentensi zunu basi hapo....

Ipatie maelezo hiyo photo lol
 
Na huyo binti hapo anasemaje????

Tukitoka hapa kesho daladala bye bye..lol
 
Yani kamkandamizia kabisa halafu tazama suluali imenyanyuka inaelekea mambo yalisha changanya na mawazo yake hayakuwa tena katika mziki sidhani kama hata alikuwa anaendana na beats!
 
Kama vile namuona libabu fulani hivi likitenda kosa la ku ... kwa mjuku wake kwa upande wa nyuma nyuma hivi!!!
Halafu huyu babu kama namkumbuka kwa mbali hivi;
Sio Mhe Duni Haji Duni wa kule Zenji vile, eti???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…