Kapuya, hii kali...! Ipe maneno picha hii

Kapuya, hii kali...! Ipe maneno picha hii

Mbona mnamuonea huyu jamaa wakati kila mtu kule kwenye ngwasuma ndio wana fanya hivyo hivyo? Hakuna kosa profesa anajinafasi baada ya kazi na hata JK nae huwa anajinafasi hivyo hiovyo akiwa huku A town!!
 
Achana na minimi ndo nimetoka kukagua ghala za sila...wacha nijipongeze....
 
Ewe dada nipe mgongo nataka kupanda mie,...........! Watu weweeeeeee!!!!!
 
HHIHIII

Kapuya4.jpg

Mtoto wa mwezio mkubwa mwenzi... we Binti geusa kwenye hii mtandao wa robo shilingi!!!!!
 
Waziri wa Rwanda ajiuzuru kwasababu ya kupiga picha na machangudoa
 
Mzee anawaza Viagra imetusaidia sana wazee kwenda sambamba na vibinti.

Binti anawaza hapa pango ya nyumba mzee inabidi anilipie na nikimpagawisha labda atanifungulia saluni na ki-Vitz cha kuwakoga mtaani.
 
ha hhaaaaaaaaaaa uwiiiiiii, huyo mdada inaelekea kacheza mpaka jasho la kwapa limemtoka!!
 
binti atakuwa anasema
wapiga kura wa urambo mlie tu.............lol
 
ngoja nicheki nanii yake....kama inalipa naondoka naye
 
huyu ni kapuya jamani, naona ni yeye kabisa, aliyewahi kuwa waziri wetu muda mrefu...anayo pia bendi ya mziki wa kunengua, pia ni mwislam mwadilifu sana aliyewahi kuwahamasisha waislam nchini wawavalishe watoto wao baibui/buibui/a.k.a ninja....speechless!
 
mh.mbunge hoyu,unategemea ajadili nini bungeni,zaidi ya kuwaza naniii?
 
Back
Top Bottom