Kapuya, hii kali...! Ipe maneno picha hii

waziri gani wa ulinzi hakuweza kutumia intelijensia
kujua kwamba aliyempiga picha , atakuja mdhalilisha?
ndyo maana presida kampiga chini uwaziri.
 
Khaa!halaf anatinga kwenye chorus huyu,kweli FUATA MANENO YANGU USIFUATE MATENDO YANGU.
 
Naomba kuuliza, hivi style ya kucheza muziki huku mnaangaliana siku hizi hakuna tena?
 
Hii ilishawekwa hapa JF siku nyingi
 
hivi ni macho yangu au mkono wa mheshimiwa unajaribu kupenya kwenye suruali ya binti
 
Na hivyo vidole anavielekaza wapi jamani? Inaonekana Mh. ni mtaalam wa finger...
 
Uso wa mh. unaonekana km umesinyaa, sijui ni nini......

kademu feki kamelowa jasho la kwapa........

vidole vinaelekea machimboni UVINZA kuchukua chumvi. Pengine nyumbani hakuwa na chumvi.

hawa ndio wakuu wetu bwana tehe teh

Msisikileze redio mbao, teh teh
 
pekechaaa pekechaaa..
duh, ngombe wa maskini hazai labda atage mayai!! na mzigo mzito mpe mnyamwezi(Kapuya) abebe
wapi mswahili ukamtenganisha na ngoma aache asili yake?
 
Kwani naye si binadamu jamani au? Wacheni hizo aisee. Ila kabinti kamesweat mbaaaaya
 
Huyu ni Alhaji Mufti JUMA ATHUMANI Kapuya mambo haya halal ila Kiti Moto NO hahahaha hawa jamaa mmhhh

umenena vyema mchungaji,watu wanachagua aya,naamini huyu akiona nguruwe astakafirullah zitakazomtoka hapo si za kawaida ila bia na mambo kama haya aaaa kama kumsukuma mlevi:rain:
 
mkuuu amakweli,mbona binti mwenyewe kama mchafu vile angalia miguu,MWEMBIE AKAPIME UONE VITA YAKE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…