Kapuya, hii kali...! Ipe maneno picha hii


Huko Kaliua ana miliki nyumba ya kulala wageni, ukiongozana na mtu wa jinsia tofauti na yako sharti uonyeshe cheti cha ndoa. Nashindwa kuelewa hapo akiulizwa cheti cha ndoa na huyo binti anacho?? Nyani haoni......
 
Chezea Kapuya wewe... Ponda mali Kufa kwaja....Aghaa.....LOL
 
The MP has a musical band..... what do you expect from him???
 
Maisha yenyewe mafupi mwacheni mzee wa watu ajipendelee
KICHENCHEDE kimejipendekeza
 
Wangu alishalegeaaaaa!
waaacha waaacha waseme.
 
Yani kamkandamizia kabisa halafu tazama suluali imenyanyuka inaelekea mambo yalisha changanya na mawazo yake hayakuwa tena katika mziki sidhani kama hata alikuwa anaendana na beats!
hahahahhahha................beat la msondo ye anacheza twist
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…