Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,379
- 41,294
We ulionaje aka mama Rwakatare. Kusoma hujui hata kutafsiri ulichoona pia.... tehkwani we ni short chasis ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ulionaje aka mama Rwakatare. Kusoma hujui hata kutafsiri ulichoona pia.... tehkwani we ni short chasis ?
hiyo kitu ni interior partMkuu kinaitwa kisimi..
umkute mfupi halafu ana mzinga wa NIDO halafu ndo avalie KO KO KO na WIGI LAKE + SURUALI. Utamtakaaaa...
Hao watu sitaki hata kuwasikia....
~Wanawivu mnooo
~Wanapenda kujiona wazuri sana kuliko wengine
~ wanapenda kuongea ongea mnoo bila sababu ya msingi
~vicheche sana...
Wana ghubu
umkute mfupi halafu ana mzinga wa NIDO halafu ndo avalie KO KO KO na WIGI LAKE + SURUALI. Utamtakaaaa...
Ndo narudi kulala maana ilipidi nipite mapambano pale:cheer2::cheer2::cheer2:Mkuu kama nishawahi kukuona vile? Hahaha
Kuna kamoja kanasimamaga pale mapambano kituoni usiku full joto
Mimi siyo mfupi wala mrefu nipo katikati ila ninasikitika sana jinsi mnavyomkosoa mwenyezi mungu mnafikiri nyie mmekamilika 100%?.....Hakuna binadamu hapa dunian aliekamilika,kuna watu humu wengine mnaelimu kubwa tu. ndugu zangu sisi binadamu wote tunamapugufu.
Hao watu sitaki hata kuwasikia....
~Wanawivu mnooo
~Wanapenda kujiona wazuri sana kuliko wengine
~ wanapenda kuongea ongea mnoo bila sababu ya msingi
~vicheche sana...
Hilo jina lako lime nikumbusha my first Love. She loves me and i love her ila alipo hama na kipindi hicho tulikua watoto na technologia ilukuwa haija kuwa kwa kiasi hiki basi tuka poteans hadi leo.
Shida yao hawa ni kutaka waonekane warefu ghafla, hawajui kama ndo ilishashindikana.
Sifa zao hazipishani na wakiume short chases.