Karamagi adaiwa kudandia wake za vigogo

Karamagi adaiwa kudandia wake za vigogo

Jamani nimeona picha ya jokate kwenye mtandao wanamfa.... nikweli?naomba kama kuna mwenye nyuzi na Clip hiyo nitumiwe jamani mbona mnafaidi wenyewe??!!!

sio yeye.
wapo tofauti kabisa ingawa wanafanana wa kwenye clip hiyo hana kidot cheusi kwa hiyo ni Jokate fake.
 
AnatafutaGa picha za utupu huyo ,Vicarius....kama kuleee ze.... anaposhinda Yo Yo
tehe tehe mkuu unaanza kampeni chafu za kuninyima dada zenu poa tu.....Vica kadata walahi teh ethet tehe huyu jamaa sio mzima
 
Du Wakuu hii habari ni ya kitambo kidogo. Yaani ni huzuni sana kwa familia ya Mongela. Nakumbuka serikali japo si direct iliingilia kidogo na ili kupunguza makali kijana akapelekwa Kigoma. Ninachofahamu ni kwamba alidanganya muda wa kuingia Airport Dar. Mama akafika mapema akapokelewa na Karamagi na kumpeleka moja kwa moja kwenye nyumba full furnished Mbezi Beach!!! Hata hivyo, walianza kutofautiana kwa sababu binti alikuwa anataka kuwaona watoto wake kila mara na akawa anajutia kuwa miss watoto. amani ikatoweka. Tofauti zilipozidi sana, basi siku moja Karamagi akakodi gari ili likamhamishe kwa nguvu huyo bibie, gari ilifika hadi nyumbani ila ilishindikana kwani binti alimtishia kuwa akimfukuza basi ataanika dili zake zote na kuwa kila evidence alishaweka. Karamagi kusikia hivyo, akafyata mkia na kuanza kuomba radhi. Hata hivyo hawakuwa na maisha mazuri tena ya amani.

Binti alitaka amrudie mumewe ikawa shida kidogo kulingana na unyeti wa familia ya ukweni hivyo, ilibaki kuwa ni aibu tu. Hata hivyo, sina details zao kwa mwaka huu 2009 (latest) kuwa
1. Je bado wanaishi na Karamagi?
2. Je, mh. Mongela bado hajaoa? Kwani kwa kweli ni muda sasa umepita tangu watengane!!!
3. Mongela anatakiwa aoe aachane na huyu Kicheche, hana heshima si mama wa familia huyo. Kama atakubali warudiane basi ni kuongeza comlications katika maisha yao.
Duh hatare
 
Kulikoni Uzi huu unaibuliwa Leo, Karamagi anataka kugombea tena ubunge Jimbo la Bukoba vijinini au Urais?
 
Back
Top Bottom