Karanga za Diamond zimesababisha umasikini kwa 30%

UMESHAJIUNGA MASONIC?
 
piga pesa diamondi.mimi naishi mkoani juzi nilikua dar nikiwa kwenye foleni pale ubungo na magomeni niliona vijana wengi wako na karanga za mond so nikanunua na nikamuuliza muuzaji vipi unaonaje kasi ya hizi karanga akajibu hii ni bonge la ajira akasema kwa kweli tunauza sana tena sana hivyo hii ni frusa kwetu piga pesa diamondi waache washangae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo mbinu za kibiashara hawana..

Punguza chuki

ushauri wa bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…