Karani: Ongezeko la mshahara(23.3%) litaniwezesha kumjengea baba yangu nyumba na kumnunulia gari. Bulembo asema mishahara haikuongezwa miaka 6

Karani: Ongezeko la mshahara(23.3%) litaniwezesha kumjengea baba yangu nyumba na kumnunulia gari. Bulembo asema mishahara haikuongezwa miaka 6

Karani katika halmashauri ya Muheza jijini Tanga, Saum Juma amesema ongezeko la mshahara lililotangazwa na Rais Samia Suluhu litawanufaisha kwa vitu vingi ikiwemo kununua viwanja, kujenga nyumba, kusomesha wadogo zao, kuwasaidia baadhi ya ndugu zao matumizi mbalimbali.

Akijitolea mfano yeye, kasema mshahara ukiongezeka ataweza kumjengea baba yake nyumba, kumnunulia gari kutokana na ongezeko hilo.

Kwa upande wake mkuu wa Wilaya ya Muheza, Halima Bulembo amesema watumishi wa Wilaya ya Muheza wamemshukuru na kumpongeza Rais Samia kwa ongezeko la mshahara la 23.3%.

Halima Bulembo amesema yeye kama kiongozi wao watumishi walimfata na kumwambia kwa kuwa rahisi yeye kumfikia Rais, amfikishie salam zao kwani inatambulika watumishi walikuwa hawajaongezewa mishahara kwa miaka sita sasa na mama kawaongezea mwaka wa 7.

Watumishi wamesema wanamuombea Mama Samia kwa Mungu

View attachment 2228029
Bulembo anafeli wapi? Ni miaka 7 no salary increase kwa visingizio kibao vya stiglaz na sgr kumbe sukuma gang wanapiga wakijinasibi kwamba ni zamu yao na wao ndio wanakura raha Sana..

Saizi miradi inaenda na salary zimeongezwa.
 
Karani katika halmashauri ya Muheza jijini Tanga, Saum Juma amesema ongezeko la mshahara lililotangazwa na Rais Samia Suluhu litawanufaisha kwa vitu vingi ikiwemo kununua viwanja, kujenga nyumba, kusomesha wadogo zao, kuwasaidia baadhi ya ndugu zao matumizi mbalimbali.

Akijitolea mfano yeye, kasema mshahara ukiongezeka ataweza kumjengea baba yake nyumba, kumnunulia gari kutokana na ongezeko hilo.

Kwa upande wake mkuu wa Wilaya ya Muheza, Halima Bulembo amesema watumishi wa Wilaya ya Muheza wamemshukuru na kumpongeza Rais Samia kwa ongezeko la mshahara la 23.3%.

Halima Bulembo amesema yeye kama kiongozi wao watumishi walimfata na kumwambia kwa kuwa rahisi yeye kumfikia Rais, amfikishie salam zao kwani inatambulika watumishi walikuwa hawajaongezewa mishahara kwa miaka sita sasa na mama kawaongezea mwaka wa 7.

Watumishi wamesema wanamuombea Mama Samia kwa Mungu

View attachment 2228029
Bulembo baba mtu ni miongoni mwa wanadamu wanafki bora wa muda wote tangu ulimwengu uumbwe
 
Karani katika halmashauri ya Muheza jijini Tanga, Saum Juma amesema ongezeko la mshahara lililotangazwa na Rais Samia Suluhu litawanufaisha kwa vitu vingi ikiwemo kununua viwanja, kujenga nyumba, kusomesha wadogo zao, kuwasaidia baadhi ya ndugu zao matumizi mbalimbali.

Akijitolea mfano yeye, kasema mshahara ukiongezeka ataweza kumjengea baba yake nyumba, kumnunulia gari kutokana na ongezeko hilo.

Kwa upande wake mkuu wa Wilaya ya Muheza, Halima Bulembo amesema watumishi wa Wilaya ya Muheza wamemshukuru na kumpongeza Rais Samia kwa ongezeko la mshahara la 23.3%.

Halima Bulembo amesema yeye kama kiongozi wao watumishi walimfata na kumwambia kwa kuwa rahisi yeye kumfikia Rais, amfikishie salam zao kwani inatambulika watumishi walikuwa hawajaongezewa mishahara kwa miaka sita sasa na mama kawaongezea mwaka wa 7.

Watumishi wamesema wanamuombea Mama Samia kwa Mungu

View attachment 2228029
Halima Bulembo, mtoto wa Abdallah Bulembo. Ukiniambia neno ninatuma mahari kwa mzee soon
 
Karani katika halmashauri ya Muheza jijini Tanga, Saum Juma amesema ongezeko la mshahara lililotangazwa na Rais Samia Suluhu litawanufaisha kwa vitu vingi ikiwemo kununua viwanja, kujenga nyumba, kusomesha wadogo zao, kuwasaidia baadhi ya ndugu zao matumizi mbalimbali.

Akijitolea mfano yeye, kasema mshahara ukiongezeka ataweza kumjengea baba yake nyumba, kumnunulia gari kutokana na ongezeko hilo.

Kwa upande wake mkuu wa Wilaya ya Muheza, Halima Bulembo amesema watumishi wa Wilaya ya Muheza wamemshukuru na kumpongeza Rais Samia kwa ongezeko la mshahara la 23.3%.

Halima Bulembo amesema yeye kama kiongozi wao watumishi walimfata na kumwambia kwa kuwa rahisi yeye kumfikia Rais, amfikishie salam zao kwani inatambulika watumishi walikuwa hawajaongezewa mishahara kwa miaka sita sasa na mama kawaongezea mwaka wa 7.

Watumishi wamesema wanamuombea Mama Samia kwa Mungu

View attachment 2228029
Mama kaupiga mwing japo tukienda kimahesabu n kama kuliwa elfu Hamsini kweny michezo ya kubahatisha alaf ukaja ukashinda elf arobaini baadae,. Lazma utashangilia saana.
Bighaa ziko juu, nauli zinapanda na vitu vngne vingi tu, alichofanya mama n ksaidia kulipa asilimia fulan ya tozo. Ongezeko kama ilo sio la ksema eti ltakfanya ujenge mara ununue gari. N uongo tu..
Yaan karudisha maisha kama zaman kabla kodi na tozo kupanda
 
Ashukuriwe mama. Hili ongezeko halijawaji kuwepo tangu dunia iumbwe.
 
Bulembo anafeli wapi? Ni miaka 7 no salary increase kwa visingizio kibao vya stiglaz na sgr kumbe sukuma gang wanapiga wakijinasibi kwamba ni zamu yao na wao ndio wanakura raha Sana..

Saizi miradi inaenda na salary zimeongezwa.
Jamani mama TISS wamwongezee ulinzi sana sana. Hatutakubali auliwe kizembe kama walivyomuua jiwe.
 
Ashukuriwe mama. Hili ongezeko halijawaji kuwepo tangu dunia iumbwe.
😥😥😥😥 acha uongo. Kuna mwamba mmoja yupo hapo msoga analima nanasi kwa sasa alisha wahi kupakia mzigo wa 41%


Japo samia kaupiga mwingi. Mwanachafo aliona kama atakula hasara akiwaongezea watumishi mishahara
 
Nchi yeti ina vilaza wengi sana! Ukiongeza mishahara gharama zinatoka wapi za kulipia mishahara? Tunaelekea kuprint more and more money kwa uchumi huu!
 
Nchi yeti ina vilaza wengi sana! Ukiongeza mishahara gharama zinatoka wapi za kulipia mishahara? Tunaelekea kuprint more and more money kwa uchumi huu!
Hivi ww haujui kila mwaka bajeti uwa inaongezeka au mnakalili akili za mwendazake alikuwa anawajaza akili chafu kichwani sasa unafikili bajeti ikiongezeka uwa wanaongeza vyanzo vya mapato yani kodi uwe na akili ww
 
Hivi ww haujui kila mwaka bajeti uwa inaongezeka au mnakalili akili za mwendazake alikuwa anawajaza akili chafu kichwani sasa unafikili bajeti ikiongezeka uwa wanaongeza vyanzo vya mapato yani kodi uwe na akili ww
Na wewe ni mmojawapo wa vilaza nchi hii! Kwa sasa hivi inflation ni ngapi rafiki? Ili ujue nilimaanisha nini!!
 
Karani katika halmashauri ya Muheza jijini Tanga, Saum Juma amesema ongezeko la mshahara lililotangazwa na Rais Samia Suluhu litawanufaisha kwa vitu vingi ikiwemo kununua viwanja, kujenga nyumba, kusomesha wadogo zao, kuwasaidia baadhi ya ndugu zao matumizi mbalimbali
Hii ndio caliber ya viongozi wa ccm🤣🤣🤣
 
Huyu nae ni mnafiki fulani hvi. Chukulia mshahara wa chini ni laki tano, ongezeko la 23.33% need sh. 116500/=. Sasa kiasi hicho, ili uweze kununua Corolla ya mtumba 8,000,000/= itakuchukua miaka zaidi ya saba. Sembuse nyumba! Hata Kama ni mbavu za mbwa sio chini ya miaka 5. Acheni sifa za kinafiki.

Bro acha unafiki Mungu hapendi hivo. Kama unalipwa say take home yako ni 3,000,000, angalau sawa, hata ukiongezwa 10% ni 300,000.
Lakini kima cha chini ajivunie nin?
Mkuu ni fikra za watu maakini au ni matajiri wanaotaka kuwalaghai watu maskini.
 
Huyu nae ni mnafiki fulani hvi. Chukulia mshahara wa chini ni laki tano, ongezeko la 23.33% need sh. 116500/=. Sasa kiasi hicho, ili uweze kununua Corolla ya mtumba 8,000,000/= itakuchukua miaka zaidi ya saba. Sembuse nyumba! Hata Kama ni mbavu za mbwa sio chini ya miaka 5. Acheni sifa za kinafiki.

Bro acha unafiki Mungu hapendi hivo. Kama unalipwa say take home yako ni 3,000,000, angalau sawa, hata ukiongezwa 10% ni 300,000.
Lakini kima cha chini ajivunie nin?
Bro watumishi hufanya maendeleo kwa mikopo
 
Karani katika halmashauri ya Muheza jijini Tanga, Saum Juma amesema ongezeko la mshahara lililotangazwa na Rais Samia Suluhu litawanufaisha kwa vitu vingi ikiwemo kununua viwanja, kujenga nyumba, kusomesha wadogo zao, kuwasaidia baadhi ya ndugu zao matumizi mbalimbali.

Akijitolea mfano yeye, kasema mshahara ukiongezeka ataweza kumjengea baba yake nyumba, kumnunulia gari kutokana na ongezeko hilo.

Kwa upande wake mkuu wa Wilaya ya Muheza, Halima Bulembo amesema watumishi wa Wilaya ya Muheza wamemshukuru na kumpongeza Rais Samia kwa ongezeko la mshahara la 23.3%.

Halima Bulembo amesema yeye kama kiongozi wao watumishi walimfata na kumwambia kwa kuwa rahisi yeye kumfikia Rais, amfikishie salam zao kwani inatambulika watumishi walikuwa hawajaongezewa mishahara kwa miaka sita sasa na mama kawaongezea mwaka wa 7.

Watumishi wamesema wanamuombea Mama Samia kwa Mungu

View attachment 2228029
Kwa Muheza sawa kabisa anaweza kumjengea baba yake nyumba! Nyumba zenyewe mbavu za mbwa, fito,majani na udongo wa mfinyanzi shilling 30,000/= nyumba tayari!
 
Back
Top Bottom