Karani: Ongezeko la mshahara(23.3%) litaniwezesha kumjengea baba yangu nyumba na kumnunulia gari. Bulembo asema mishahara haikuongezwa miaka 6

Karani: Ongezeko la mshahara(23.3%) litaniwezesha kumjengea baba yangu nyumba na kumnunulia gari. Bulembo asema mishahara haikuongezwa miaka 6

Huyu nae ni mnafiki fulani hvi. Chukulia mshahara wa chini ni laki tano, ongezeko la 23.33% need sh. 116500/=. Sasa kiasi hicho, ili uweze kununua Corolla ya mtumba 8,000,000/= itakuchukua miaka zaidi ya saba. Sembuse nyumba! Hata Kama ni mbavu za mbwa sio chini ya miaka 5. Acheni sifa za kinafiki.

Bro acha unafiki Mungu hapendi hivo. Kama unalipwa say take home yako ni 3,000,000, angalau sawa, hata ukiongezwa 10% ni 300,000.
Lakini kima cha chini ajivunie nin?
Na wewe unaota ndoto za mchana, kima cha chini laki tano! Unafanya mzaha!
 
Hilo ongezeko hesabu washapiga Yani! Uchawa uchawa tu. Kiherehere.
Karani katika halmashauri ya Muheza jijini Tanga, Saum Juma amesema ongezeko la mshahara lililotangazwa na Rais Samia Suluhu litawanufaisha kwa vitu vingi ikiwemo kununua viwanja, kujenga nyumba, kusomesha wadogo zao, kuwasaidia baadhi ya ndugu zao matumizi mbalimbali.

Akijitolea mfano yeye, kasema mshahara ukiongezeka ataweza kumjengea baba yake nyumba, kumnunulia gari kutokana na ongezeko hilo.

Kwa upande wake mkuu wa Wilaya ya Muheza, Halima Bulembo amesema watumishi wa Wilaya ya Muheza wamemshukuru na kumpongeza Rais Samia kwa ongezeko la mshahara la 23.3%.

Halima Bulembo amesema yeye kama kiongozi wao watumishi walimfata na kumwambia kwa kuwa rahisi yeye kumfikia Rais, amfikishie salam zao kwani inatambulika watumishi walikuwa hawajaongezewa mishahara kwa miaka sita sasa na mama kawaongezea mwaka wa 7.

Watumishi wamesema wanamuombea Mama Samia kwa Mungu

View attachment 2228029
 
Mama kaupiga mwing japo tukienda kimahesabu n kama kuliwa elfu Hamsini kweny michezo ya kubahatisha alaf ukaja ukashinda elf arobaini baadae,. Lazma utashangilia saana.
Bighaa ziko juu, nauli zinapanda na vitu vngne vingi tu, alichofanya mama n ksaidia kulipa asilimia fulan ya tozo. Ongezeko kama ilo sio la ksema eti ltakfanya ujenge mara ununue gari. N uongo tu..
Yaan karudisha maisha kama zaman kabla kodi na tozo kupanda
Hivi mlitaka afanyeje?? Asiongeze mshahara?? Bei hauzisushi kwa order ya serikali hii ni market economy the market dictates the prices more so the global market.

Akisema afute tozo zingine kwenye bei ya mafuta mtakuja kulalamika mliona miraid haimaliziki!!! So bora mshahara upande tu iwe win win kwa wote mpate Hela ya kufidia gharama zilizopanda na serikali kumaintain kodi yake at least mpaka mwaka wa fedha uishe.

Tuache kupinga tu kisa amefanya Samia, mambo mengine tuwe optimistic
 
Huyu nae ni mnafiki fulani hvi. Chukulia mshahara wa chini ni laki tano, ongezeko la 23.33% need sh. 116500/=. Sasa kiasi hicho, ili uweze kununua Corolla ya mtumba 8,000,000/= itakuchukua miaka zaidi ya saba. Sembuse nyumba! Hata Kama ni mbavu za mbwa sio chini ya miaka 5. Acheni sifa za kinafiki.

Bro acha unafiki Mungu hapendi hivo. Kama unalipwa say take home yako ni 3,000,000, angalau sawa, hata ukiongezwa 10% ni 300,000.
Lakini kima cha chini ajivunie nin?
Punguzeni ujuaji kama kwa sasa atalipwa laki 5 akisave laki 3 kwa mwezi atahitaji miaka 8 Ili apate Hilo gari unaloongelea hapa? Au kwa akili Yako ana maanisha ni hiyo 23% pekee ndio atajengea nyumba??

Unaweza ona laki moja sio kitu ila kuna watu wanalipwa 150,000 kwa mwezi na Wana survive hapa Dar ndio sembuse mkazi wa Korogwe ambapo gharama za maisha ni chini ya Dar??
 
Nchi yeti ina vilaza wengi sana! Ukiongeza mishahara gharama zinatoka wapi za kulipia mishahara? Tunaelekea kuprint more and more money kwa uchumi huu!
Kwani increment ya mshahara wa watu laki 5 pekee ndio unaweza drive inflation kwa labor force ya watu million 30+??

Ambacho tunapaswa tuone ni kwamba the more disposable income kwa hao watumishi means more money inaenda tena kwa private sector mfano manunuzi ya bidhaa n.k which translates to more revenue base ambapo serikali itakusanya. So hapo gharama ya hiyo mishahara itakuwa recouped at least 40%

Sidhani kama billion 300 zinazobaki zinaweza lazimu serikali kuprint notes. In fact serikali itabana tu mabenki ya biashara, itapandisha reserve ratio, itapandisha bank rate,itanunua hati fungani nyingi yote hayo kupunguza hizo hayo mabillion kwenye mzunguko at least for the near future!!! Mpaka currency in circulation na demand deposits zipungu haswaa.

That's how Central Bank operates.
 
Back
Top Bottom