Na wewe unaota ndoto za mchana, kima cha chini laki tano! Unafanya mzaha!Huyu nae ni mnafiki fulani hvi. Chukulia mshahara wa chini ni laki tano, ongezeko la 23.33% need sh. 116500/=. Sasa kiasi hicho, ili uweze kununua Corolla ya mtumba 8,000,000/= itakuchukua miaka zaidi ya saba. Sembuse nyumba! Hata Kama ni mbavu za mbwa sio chini ya miaka 5. Acheni sifa za kinafiki.
Bro acha unafiki Mungu hapendi hivo. Kama unalipwa say take home yako ni 3,000,000, angalau sawa, hata ukiongezwa 10% ni 300,000.
Lakini kima cha chini ajivunie nin?
Siyo majizi tu bali pia machizi wa kutosha!Hii nchi ina majizi wa kutosha
Hatari snSiyo majizi tu bali pia machizi wa kutosha!
Ww itakuwa unacheti cha milembe sio bure kwa wendawazimu huoNa wewe ni mmojawapo wa vilaza nchi hii! Kwa sasa hivi inflation ni ngapi rafiki? Ili ujue nilimaanisha nini!!
Karani katika halmashauri ya Muheza jijini Tanga, Saum Juma amesema ongezeko la mshahara lililotangazwa na Rais Samia Suluhu litawanufaisha kwa vitu vingi ikiwemo kununua viwanja, kujenga nyumba, kusomesha wadogo zao, kuwasaidia baadhi ya ndugu zao matumizi mbalimbali.
Akijitolea mfano yeye, kasema mshahara ukiongezeka ataweza kumjengea baba yake nyumba, kumnunulia gari kutokana na ongezeko hilo.
Kwa upande wake mkuu wa Wilaya ya Muheza, Halima Bulembo amesema watumishi wa Wilaya ya Muheza wamemshukuru na kumpongeza Rais Samia kwa ongezeko la mshahara la 23.3%.
Halima Bulembo amesema yeye kama kiongozi wao watumishi walimfata na kumwambia kwa kuwa rahisi yeye kumfikia Rais, amfikishie salam zao kwani inatambulika watumishi walikuwa hawajaongezewa mishahara kwa miaka sita sasa na mama kawaongezea mwaka wa 7.
Watumishi wamesema wanamuombea Mama Samia kwa Mungu
View attachment 2228029
Hivi mlitaka afanyeje?? Asiongeze mshahara?? Bei hauzisushi kwa order ya serikali hii ni market economy the market dictates the prices more so the global market.Mama kaupiga mwing japo tukienda kimahesabu n kama kuliwa elfu Hamsini kweny michezo ya kubahatisha alaf ukaja ukashinda elf arobaini baadae,. Lazma utashangilia saana.
Bighaa ziko juu, nauli zinapanda na vitu vngne vingi tu, alichofanya mama n ksaidia kulipa asilimia fulan ya tozo. Ongezeko kama ilo sio la ksema eti ltakfanya ujenge mara ununue gari. N uongo tu..
Yaan karudisha maisha kama zaman kabla kodi na tozo kupanda
Kukuuliza inflation ndo uwendawazimu? Ukijua mfumko wa bei kwa sasa ni kiasi gani utakuwa hujafanya dhambi!Ww itakuwa unacheti cha milembe sio bure kwa wendawazimu huo
Punguzeni ujuaji kama kwa sasa atalipwa laki 5 akisave laki 3 kwa mwezi atahitaji miaka 8 Ili apate Hilo gari unaloongelea hapa? Au kwa akili Yako ana maanisha ni hiyo 23% pekee ndio atajengea nyumba??Huyu nae ni mnafiki fulani hvi. Chukulia mshahara wa chini ni laki tano, ongezeko la 23.33% need sh. 116500/=. Sasa kiasi hicho, ili uweze kununua Corolla ya mtumba 8,000,000/= itakuchukua miaka zaidi ya saba. Sembuse nyumba! Hata Kama ni mbavu za mbwa sio chini ya miaka 5. Acheni sifa za kinafiki.
Bro acha unafiki Mungu hapendi hivo. Kama unalipwa say take home yako ni 3,000,000, angalau sawa, hata ukiongezwa 10% ni 300,000.
Lakini kima cha chini ajivunie nin?
Kwani increment ya mshahara wa watu laki 5 pekee ndio unaweza drive inflation kwa labor force ya watu million 30+??Nchi yeti ina vilaza wengi sana! Ukiongeza mishahara gharama zinatoka wapi za kulipia mishahara? Tunaelekea kuprint more and more money kwa uchumi huu!
Ni mzahaOngezeko la mshahara ni kiini macho.
Haitajenga tena nyumba za wazazi wenu?Ongezeko la mshahara ni kiini macho.
Vipi huko?Wewe sio mtumishi una ufahamu wowote hiyo pesa unayoizarau anaweza kuikopea na kupata hiyo milioni 8