Karantini ya Diamond Platnumz ni kama shindano la Big Brother

umasikin mbaya sana, kwaiyo wote walio quarantine wako kila MTU kwenye nyumba yake yuko mwenyew tu bila wanafamiia
 
umasikin mbaya sana, kwaiyo wote walio quarantine wako kila MTU kwenye nyumba yake yuko mwenyew tu bila wanafamiia
 
Sikupingi ✔️✅✔️
 
Kik Ya yeye kumtema Tanasha Imebuma, Kik Ya mama yake Kutemwa na Kiben 10 pia Imebuma ameona wivu Mwana FA katrend na Yeye kaamua Kupitamo alaf raia Wamempotezea Japokua Vi fans Vyake Vinajaribu Kubust ila Busta Limegoma Pia.
Unamfatilia sana aisee , kwanamna hii Diamond atabaki juu
 
Ukiona mtu anamchukia diamond ujue huyo mtu ana wivu mbaya wa maendeleo in real life
 
Kik Ya yeye kumtema Tanasha Imebuma, Kik Ya mama yake Kutemwa na Kiben 10 pia Imebuma ameona wivu Mwana FA katrend na Yeye kaamua Kupitamo alaf raia Wamempotezea Japokua Vi fans Vyake Vinajaribu Kubust ila Busta Limegoma Pia.
Mkuu una maisha magumu sana pambana, Kama umeweza kuonyesha chuki kwa kiasi hiki hatari sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio nimejua kuna hiki kitu

Sema kuna mahali kachukua idea ya toosie slide


It is never too late to begin. Start now
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…