Hao wachina wezi tu wanashndwa kuwekeza kwny migodi ya dhahabu au tanzanite wanakimbilia kokoto ambazo hata mtanzania anaweza chimba.
Serikali iwapokonye huo mgodi tukachimbe wenyewe ikiwezekana serikali izuie vifaa vyao vya uchimbaji na kuvikabidhi kwa wazawa🤗🤗🤗🤗