James Martin
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 1,206
- 1,509
Inawezekana tenda imepewa tena kampuni ya MayangaKwa anaefahamu,naomba atujuze kwani teyari mitandaoni watu wameanza kusema yao.
Halafu hivi JAMANA PRINTERS ndio kina nani hasa?
CC: CHADEMA
Kabisa mkuu!Inawezekana tenda imepewa tena kampuni ya Mayanga
Wanaogopa kila kitu, wanahisi kuibiwa ktk kila kitu!Unajua ni kwanini hata CHADEMA leo wamehoji?
Na je, hi ndio sababu ambayo imesababisha serikali kukataa fungu kwa ajili ya kusimamia uchaguzi kutoka kwa wahisani aka mabeberu?Ni mmoja ya washitakiwa katika kesi ya uchochezi inayomkabili Mh. Tundu Lissu,pamoja na Mhariri wa Gazeti la Mawio, Simon Mkina na Jabir Idrisa. Pengine hii tender wamekuwa awarded kwa makubaliano ya kazi pasipo malipo in exchange ya wao kufutiwa mashtaka. Kwani uhusika wao katika kesi ni kwa wao kuchapisha hilo gazeti la Mawio lililomnukuu T.L akitoa matamshi yaliyo onekana kuwa ya kiuchochezi.
Tenda ilitangazwa wewe, hata Mnyika amethibitisha hilo.Kwanini hawakutangaza tender?
Swali zuri sana!Wasingetangaza Mnyika angezijuaje hizo kampuni mbili alizozitaja leo?
Mkuu ilikuwa lazima uandike Kiinglishi?When Kagera region was struck by an earthquarke hundreds of people dead and without shelter and the Magui government collected money from around the world. when M went there he told the people he did not order the earthquark to strike them so no money for them
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaona unavyojionyesha ujinga hadharani; hivi hata aibu huna?Mtahoji sana!
Na mwaka huu mtaambiwa muende na pen zenu kama 2015 ilivyokuwa!
Yani mnataka kuipangia serikali hadi sehemu ya kuchapisha karatasi?
Nyie ndio wanawake WAUPE au sio ??Mfa maji haachi kutapatapa
NEC endeleeni na kazi yenu
Ongea sifa nyingine💥😁Nyie ndio wanawake WAUPE au sio ??
Wewe mwanamke ni Mweupe? Usijekuwa unashabikia hatima yako?Mfa maji haachi kutapatapa
NEC endeleeni na kazi yenu
Wewe mwanamke ni Mweupe? Usijekuwa unashabikia hatima yako?
hata zikichapishwa kilwa masoko,zitaondoa vipi imani yako kwa lissuKwa anaefahamu,naomba atujuze kwani teyari mitandaoni watu wameanza kusema yao.
Halafu hivi JAMANA PRINTERS ndio kina nani hasa?
CC: CHADEMA
Naona ni brown hivi na bwana yule anataka white paper!!Wewe unaonaje[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Jana nimeota mgombea wa ccm anamfanya kitu kibaya mgombea wa ACTWanaogopa kila kitu, wanahisi kuibiwa ktk kila kitu!
tulieni, damn it! Zimebaki wiki chache mpigwe chali.
Najua watu wameshajua kwamba wana shindwa uchaguzi, Sasa visingizio vinaanza kutengenezwaKwa anaefahamu,naomba atujuze kwani teyari mitandaoni watu wameanza kusema yao.
Halafu hivi JAMANA PRINTERS ndio kina nani hasa?
CC: CHADEMA