Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
jikite kwenye madaKama yule wa CHADEMA aliye jitoa
When you are the incumbent seeking re-election you donβt run on new promises, but run on your past recordβ Politics 121.Kama yule wa CHADEMA aliye jitoa
Mzizi pekee ndio hujikita hivyo mie sio mzizi.jikite kwenye mada
Ni kama game ni ya upande mmoja tu , Kampa kampa tena , na hakuna namna ccm inaweza kuambulia chochote , bali kuna tetesi kwamba mgombea wao wa ubunge anafikiria kujitoa...
Mapema tu CCM is obsoletedNi kama game ni ya upande mmoja tu , Kampa kampa tena , na hakuna namna ccm inaweza kuambulia chochote , bali kuna tetesi kwamba mgombea wao wa ubunge anafikiria kujitoa...
Kinyume chake ndio ukweli. Yaani kabisa unaamini Awakii mzee wa focha fodakom anapita? Lazima unayo hitilafu kichwani. Na mlete ujinga wenu wa kupindua matokeo muone.Karatu na Moshi mnapoteza kwa ujinga wenu
Hawana akili ni wapumbavu wa kutosha. Kuna mmoja wao nilipoongea nae kuhusu uchaguzi alisema kuwa hawachaguwi awakii kwa sababu hana Elimu. Ila nikamuuliza tena Elimu kwa Awakii ingewasaidiaje au wanakosa nini kwa yeye kutokuwa na elimu? Alisema hakuna haja ya kusomesha watoto halafu wewe ukalioa ada na kisha kuchagua ambae hana elimu. Mimi sikumuelewa kabisa. Ila kifupi ni kwamba wao huchagua kwa jazba na hawajuwi walifanyalo. Halimashauri iliongizwa na Cdm na waliwala haswaaa lakini hawakomi. Sio wajanja hata ni wanamihemuko ty.Erythrocyte,
Wairaq hawa ni Waethiopia kabisa, hawa watu wanakili sana huwa namshangaa Slaa alikwama wapi. Lakini chimbuko lao wanakaribiana sana na Wanyaturu mfano muangalie Lissu au Nyalandu.
Tulia weweeKama yule wa CHADEMA aliye jitoa