Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ni kama game ni ya upande mmoja tu, kampa kampa tena na hakuna namna CCM inaweza kuambulia chochote bali kuna tetesi kwamba mgombea wao wa ubunge anafikiria kujitoa.
Hata ungekuwa wewe kwa hali kama hii ungefanyaje?
Hata ungekuwa wewe kwa hali kama hii ungefanyaje?