Kardinali Pengo na Askofu Malasusa ni kielelezo cha unafiki wa viongozi wa dini

Kardinali Pengo na Askofu Malasusa ni kielelezo cha unafiki wa viongozi wa dini

Hivi wakati huyu kijana wao Msiba anatukana, kukashfu na kutishia watu, wao walikuwa wapi?

Maaskofu wa kanisa katoliki waliwahi kuandika waraka kukemea maovu wakati wa mwenda zake lkn Pengo aliukana waraka ule Leo yeye wa kumwombea Msiba msamaha kweli?

Viongozi wa dini walikaa kimya hawakuonya chochote kipindi kile cha Giza wakati uovu ukitendwa hadharani au kazi yao SI kukemea Bali kuwaombea msamaha wahalifu wa wakati huo. Na kwa nini msamaha uwe ni kwa Msiba tu?

Kuna watanzania wangapi wameonewa lkn hawakuwaombea msamaha kwa waliowaonea?

Kama ni msamaha basi aliyestahili angalau kusikilizwa na kachero Membe ni ASKOFU MWAMAKULA kwani wote ni mashahidi alisimama na kweli hata kipindi kile tunapitishwa kwenye moto.

Msiba anastahili kulipa gharama za uovu wake Ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama zake. Kama ni msamaha huuombwa na mtu mwenyewe aliyekosa kwanza. Yule jeuri na mwehu hakuwahi kuomba msamaha licha ya nafasi aliyopewa.

Kila mmoja ataubeba msalaba wake mwacheni Msiba aubebe Msiba wake. Pengo na Malasusa acheni unafiki huu utaliangamiza taifa. Huyu kichaa SI wa kusamehewa hata kidogo.Au Hawa watumishi ni chawa wa Msiba?

Membe shikilia hapo hapo na mnada wa Mali zake za wizi urushwe live TBC taifa Kila mtanzania aone jinsi mshahara wa dhambi ulivyo mauti. Kwani wale waliomuunga mkono wako wapi Leo?
Sipendi wanafiki mimi.

Ndio maama hata hayo makanisa yao siendagi.
 
Jihadharini na chachu ya mafarisayo
Wanachoangalia ni SHEKELI
Ushasikia wakikemea UFISADI ndani ya hii nchi hao viongozi wa dini
Hawawezi maana wanao nufaika na uwo ufisadi ni watu wao wa karibu
Nb. Membe apewe pesa yake haraka.
 
Nimesema siku zote kuwa hatuna viongozi wa dini bali wajailia dini. Bladfaken bastard kama walinyamaza wakati uovu unatendeka, basi wanyamaze wakati uovu unakemewa.
Viongozi wa dini haramu walionyamaza kimywa wakati watu wanatekwa huku wakiwaunga mkono watekaji.

Kwanza mimi hao watu nilishawafuta kwenye list ya dini.

Kwanza hata injili zao huwa hazieleweki😅😅
 
Viongozi wa dini haramu walionyamaza kimywa wakati watu wanatekwa huku wakiwaunga mkono watekaji.

Kwanza mimi hao watu nilishawafuta kwenye list ya dini.

Kwanza hata injili zao huwa hazieleweki[emoji28][emoji28]
Ni wanafiki wa kupindikia ingekuwa enzi za yesu Hawa ndio ambao wangedai baraba aachiwe huru na masihi asulubiwe
 
Binafsi kama mkatoliki hua sipendi viongozi wa dini wanafiki kama kadnali Pengo ni hawahawa walihongwa pesa za Escro nakukaa kimya wakati wakisemwa wao huona furaha watu wakiwa wanavunjiwa heshima zao kujifanya wanyenyekevu lakini kiukweli ni wezi tu na watu wasiofaa
 
Mahakama kukubali kujihusisha na kesi za madai yenye mlengo wa kisiasa kunaenda kuua uhuru wa habari na maoni na kuziba watu midomo kuibua skendo za uhujumu nchini zikiwemo ubadhirifu mkubwa mithili ya ule ulioibuliwa na CAG. Kwa sababu hao watu watakuwa na ukwasi mkubwa ni rahisi wao kukimbilia kutumia mahakama kwa kuwalipa mawakili nguli na kupenyeza pesa kila mahali.
 
Binafsi kama mkatoliki hua sipendi viongozi wa dini wanafiki kama kadnali Pengo ni hawahawa walihongwa pesa za Escro nakukaa kimya wakati wakisemwa wao huona furaha watu wakiwa wanavunjiwa heshima zao kujifanya wanyenyekevu lakini kiukweli ni wezi tu na watu wasiofaa
100%
 
We Una akili timamu kweli, Dini kazi yake ni Amani, kazi ya kiongozi wa dini ni kusuruhisha whatever the case, ujinga umekujaa
Wangesuluhisha pia wakati Membe Anadhalilishwa!
Walifanya hiyo??[emoji101][emoji101]
Isiwé mkuki kwa nguruwe kwa mwanadamu ni mchungu!
 
Pengo na Malasusa ni viongozi wa dini vibaraka wa serikali, wamekuwa wakitumika na serikali waziwazi kuikinga kwenye kashfa zake pamoja na viongozi wao.
 
Hivi wakati huyu kijana wao Msiba anatukana, kukashfu na kutishia watu, wao walikuwa wapi?

Maaskofu wa kanisa katoliki waliwahi kuandika waraka kukemea maovu wakati wa mwenda zake lkn Pengo aliukana waraka ule Leo yeye wa kumwombea Msiba msamaha kweli?

Viongozi wa dini walikaa kimya hawakuonya chochote kipindi kile cha Giza wakati uovu ukitendwa hadharani au kazi yao SI kukemea Bali kuwaombea msamaha wahalifu wa wakati huo. Na kwa nini msamaha uwe ni kwa Msiba tu?

Kuna watanzania wangapi wameonewa lkn hawakuwaombea msamaha kwa waliowaonea?

Kama ni msamaha basi aliyestahili angalau kusikilizwa na kachero Membe ni ASKOFU MWAMAKULA kwani wote ni mashahidi alisimama na kweli hata kipindi kile tunapitishwa kwenye moto.

Msiba anastahili kulipa gharama za uovu wake Ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama zake. Kama ni msamaha huuombwa na mtu mwenyewe aliyekosa kwanza. Yule jeuri na mwehu hakuwahi kuomba msamaha licha ya nafasi aliyopewa.

Kila mmoja ataubeba msalaba wake mwacheni Msiba aubebe Msiba wake. Pengo na Malasusa acheni unafiki huu utaliangamiza taifa. Huyu kichaa SI wa kusamehewa hata kidogo.Au Hawa watumishi ni chawa wa Msiba?

Membe shikilia hapo hapo na mnada wa Mali zake za wizi urushwe live TBC taifa Kila mtanzania aone jinsi mshahara wa dhambi ulivyo mauti. Kwani wale waliomuunga mkono wako wapi Leo?
#membealipwetu#
PENGO ALIUKANA WARAKA MPAKA WAKAPARURANA NA ASKOFU GWAJIMA
 
We Una akili timamu kweli, Dini kazi yake ni Amani, kazi ya kiongozi wa dini ni kusuruhisha whatever the case, ujinga umekujaa
Pengo na Malasusa hawakuwahi kumkemea MUSIBA wakati anawatukana Watu kwa sababu walikuwa Upande wa aliyekuwa anamtupa MUSIBA ambaye ni MAGUFULI
Kwanini LEO ndio wanajifanya WAPATANISHI? Huo ni UNAFIKI
Mzee MEMBE USIKUBALI DAI FEDHA ZAKO huyo MUSIBA alikudhalilisha sana
 
Hivi wakati huyu kijana wao Msiba anatukana, kukashfu na kutishia watu, wao walikuwa wapi?

Maaskofu wa kanisa katoliki waliwahi kuandika waraka kukemea maovu wakati wa mwenda zake lkn Pengo aliukana waraka ule Leo yeye wa kumwombea Msiba msamaha kweli?

Viongozi wa dini walikaa kimya hawakuonya chochote kipindi kile cha Giza wakati uovu ukitendwa hadharani au kazi yao SI kukemea Bali kuwaombea msamaha wahalifu wa wakati huo. Na kwa nini msamaha uwe ni kwa Msiba tu?

Kuna watanzania wangapi wameonewa lkn hawakuwaombea msamaha kwa waliowaonea?

Kama ni msamaha basi aliyestahili angalau kusikilizwa na kachero Membe ni ASKOFU MWAMAKULA kwani wote ni mashahidi alisimama na kweli hata kipindi kile tunapitishwa kwenye moto.

Msiba anastahili kulipa gharama za uovu wake Ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama zake. Kama ni msamaha huuombwa na mtu mwenyewe aliyekosa kwanza. Yule jeuri na mwehu hakuwahi kuomba msamaha licha ya nafasi aliyopewa.

Kila mmoja ataubeba msalaba wake mwacheni Msiba aubebe Msiba wake. Pengo na Malasusa acheni unafiki huu utaliangamiza taifa. Huyu kichaa SI wa kusamehewa hata kidogo.Au Hawa watumishi ni chawa wa Msiba?

Membe shikilia hapo hapo na mnada wa Mali zake za wizi urushwe live TBC taifa Kila mtanzania aone jinsi mshahara wa dhambi ulivyo mauti. Kwani wale waliomuunga mkono wako wapi Leo?
#membealipwetu#
Wakati Msiba anatukana viongozi wataafu wangemkemea pia
 
Back
Top Bottom