Kambaku
JF-Expert Member
- Nov 12, 2011
- 8,332
- 31,306
Huna akiliWe Una akili timamu kweli, Dini kazi yake ni Amani, kazi ya kiongozi wa dini ni kusuruhisha whatever the case, ujinga umekujaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna akiliWe Una akili timamu kweli, Dini kazi yake ni Amani, kazi ya kiongozi wa dini ni kusuruhisha whatever the case, ujinga umekujaa
Sipendi wanafiki mimi.Hivi wakati huyu kijana wao Msiba anatukana, kukashfu na kutishia watu, wao walikuwa wapi?
Maaskofu wa kanisa katoliki waliwahi kuandika waraka kukemea maovu wakati wa mwenda zake lkn Pengo aliukana waraka ule Leo yeye wa kumwombea Msiba msamaha kweli?
Viongozi wa dini walikaa kimya hawakuonya chochote kipindi kile cha Giza wakati uovu ukitendwa hadharani au kazi yao SI kukemea Bali kuwaombea msamaha wahalifu wa wakati huo. Na kwa nini msamaha uwe ni kwa Msiba tu?
Kuna watanzania wangapi wameonewa lkn hawakuwaombea msamaha kwa waliowaonea?
Kama ni msamaha basi aliyestahili angalau kusikilizwa na kachero Membe ni ASKOFU MWAMAKULA kwani wote ni mashahidi alisimama na kweli hata kipindi kile tunapitishwa kwenye moto.
Msiba anastahili kulipa gharama za uovu wake Ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama zake. Kama ni msamaha huuombwa na mtu mwenyewe aliyekosa kwanza. Yule jeuri na mwehu hakuwahi kuomba msamaha licha ya nafasi aliyopewa.
Kila mmoja ataubeba msalaba wake mwacheni Msiba aubebe Msiba wake. Pengo na Malasusa acheni unafiki huu utaliangamiza taifa. Huyu kichaa SI wa kusamehewa hata kidogo.Au Hawa watumishi ni chawa wa Msiba?
Membe shikilia hapo hapo na mnada wa Mali zake za wizi urushwe live TBC taifa Kila mtanzania aone jinsi mshahara wa dhambi ulivyo mauti. Kwani wale waliomuunga mkono wako wapi Leo?
Wanafiki nyie. Mtalaaniwa.We Una akili timamu kweli, Dini kazi yake ni Amani, kazi ya kiongozi wa dini ni kusuruhisha whatever the case, ujinga umekujaa
Membe alipweJihadharini na chachu ya mafarisayo
Wanachoangalia ni SHEKELI
Ushasikia wakikemea UFISADI ndani ya hii nchi hao viongozi wa dini
Hawawezi maana wanao nufaika na uwo ufisadi ni watu wao wa karibu
Nb. Membe apewe pesa yake haraka.
Viongozi wa dini haramu walionyamaza kimywa wakati watu wanatekwa huku wakiwaunga mkono watekaji.Nimesema siku zote kuwa hatuna viongozi wa dini bali wajailia dini. Bladfaken bastard kama walinyamaza wakati uovu unatendeka, basi wanyamaze wakati uovu unakemewa.
Wajasialamali wa Injili.Hatuna Maaskofu tuna wachumia matumbo tu.
Ni wanafiki wa kupindikia ingekuwa enzi za yesu Hawa ndio ambao wangedai baraba aachiwe huru na masihi asulubiweViongozi wa dini haramu walionyamaza kimywa wakati watu wanatekwa huku wakiwaunga mkono watekaji.
Kwanza mimi hao watu nilishawafuta kwenye list ya dini.
Kwanza hata injili zao huwa hazieleweki[emoji28][emoji28]
100%Binafsi kama mkatoliki hua sipendi viongozi wa dini wanafiki kama kadnali Pengo ni hawahawa walihongwa pesa za Escro nakukaa kimya wakati wakisemwa wao huona furaha watu wakiwa wanavunjiwa heshima zao kujifanya wanyenyekevu lakini kiukweli ni wezi tu na watu wasiofaa
Wangesuluhisha pia wakati Membe Anadhalilishwa!We Una akili timamu kweli, Dini kazi yake ni Amani, kazi ya kiongozi wa dini ni kusuruhisha whatever the case, ujinga umekujaa
Fikra za shetani ndio zipo namna gani??Ukiwa na fikra za shetan huwez elewa lengo la dini
Rudia kumsoma mleta mada mara tatu au zaidi utaelewa.We Una akili timamu kweli, Dini kazi yake ni Amani, kazi ya kiongozi wa dini ni kusuruhisha whatever the case, ujinga umekujaa
PENGO ALIUKANA WARAKA MPAKA WAKAPARURANA NA ASKOFU GWAJIMAHivi wakati huyu kijana wao Msiba anatukana, kukashfu na kutishia watu, wao walikuwa wapi?
Maaskofu wa kanisa katoliki waliwahi kuandika waraka kukemea maovu wakati wa mwenda zake lkn Pengo aliukana waraka ule Leo yeye wa kumwombea Msiba msamaha kweli?
Viongozi wa dini walikaa kimya hawakuonya chochote kipindi kile cha Giza wakati uovu ukitendwa hadharani au kazi yao SI kukemea Bali kuwaombea msamaha wahalifu wa wakati huo. Na kwa nini msamaha uwe ni kwa Msiba tu?
Kuna watanzania wangapi wameonewa lkn hawakuwaombea msamaha kwa waliowaonea?
Kama ni msamaha basi aliyestahili angalau kusikilizwa na kachero Membe ni ASKOFU MWAMAKULA kwani wote ni mashahidi alisimama na kweli hata kipindi kile tunapitishwa kwenye moto.
Msiba anastahili kulipa gharama za uovu wake Ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama zake. Kama ni msamaha huuombwa na mtu mwenyewe aliyekosa kwanza. Yule jeuri na mwehu hakuwahi kuomba msamaha licha ya nafasi aliyopewa.
Kila mmoja ataubeba msalaba wake mwacheni Msiba aubebe Msiba wake. Pengo na Malasusa acheni unafiki huu utaliangamiza taifa. Huyu kichaa SI wa kusamehewa hata kidogo.Au Hawa watumishi ni chawa wa Msiba?
Membe shikilia hapo hapo na mnada wa Mali zake za wizi urushwe live TBC taifa Kila mtanzania aone jinsi mshahara wa dhambi ulivyo mauti. Kwani wale waliomuunga mkono wako wapi Leo?
#membealipwetu#
Pengo na Malasusa hawakuwahi kumkemea MUSIBA wakati anawatukana Watu kwa sababu walikuwa Upande wa aliyekuwa anamtupa MUSIBA ambaye ni MAGUFULIWe Una akili timamu kweli, Dini kazi yake ni Amani, kazi ya kiongozi wa dini ni kusuruhisha whatever the case, ujinga umekujaa
Wakati Msiba anatukana viongozi wataafu wangemkemea piaHivi wakati huyu kijana wao Msiba anatukana, kukashfu na kutishia watu, wao walikuwa wapi?
Maaskofu wa kanisa katoliki waliwahi kuandika waraka kukemea maovu wakati wa mwenda zake lkn Pengo aliukana waraka ule Leo yeye wa kumwombea Msiba msamaha kweli?
Viongozi wa dini walikaa kimya hawakuonya chochote kipindi kile cha Giza wakati uovu ukitendwa hadharani au kazi yao SI kukemea Bali kuwaombea msamaha wahalifu wa wakati huo. Na kwa nini msamaha uwe ni kwa Msiba tu?
Kuna watanzania wangapi wameonewa lkn hawakuwaombea msamaha kwa waliowaonea?
Kama ni msamaha basi aliyestahili angalau kusikilizwa na kachero Membe ni ASKOFU MWAMAKULA kwani wote ni mashahidi alisimama na kweli hata kipindi kile tunapitishwa kwenye moto.
Msiba anastahili kulipa gharama za uovu wake Ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama zake. Kama ni msamaha huuombwa na mtu mwenyewe aliyekosa kwanza. Yule jeuri na mwehu hakuwahi kuomba msamaha licha ya nafasi aliyopewa.
Kila mmoja ataubeba msalaba wake mwacheni Msiba aubebe Msiba wake. Pengo na Malasusa acheni unafiki huu utaliangamiza taifa. Huyu kichaa SI wa kusamehewa hata kidogo.Au Hawa watumishi ni chawa wa Msiba?
Membe shikilia hapo hapo na mnada wa Mali zake za wizi urushwe live TBC taifa Kila mtanzania aone jinsi mshahara wa dhambi ulivyo mauti. Kwani wale waliomuunga mkono wako wapi Leo?
#membealipwetu#