Kardinali Pengo na Askofu Malasusa ni kielelezo cha unafiki wa viongozi wa dini

Kardinali Pengo na Askofu Malasusa ni kielelezo cha unafiki wa viongozi wa dini

Ripoti ya CAG ijadiliwe humu mara ngapi kilichobaki ni serikali kuchukua hatua wakipenda na wasipopenda wakaushe tu maana hatuna cha kuwafanya
 
Hivi wakati huyu kijana wao Msiba anatukana, kukashfu na kutishia watu, wao walikuwa wapi?

Maaskofu wa kanisa katoliki waliwahi kuandika waraka kukemea maovu wakati wa mwenda zake lkn Pengo aliukana waraka ule Leo yeye wa kumwombea Msiba msamaha kweli?

Viongozi wa dini walikaa kimya hawakuonya chochote kipindi kile cha Giza wakati uovu ukitendwa hadharani au kazi yao SI kukemea Bali kuwaombea msamaha wahalifu wa wakati huo. Na kwa nini msamaha uwe ni kwa Msiba tu?

Kuna watanzania wangapi wameonewa lkn hawakuwaombea msamaha kwa waliowaonea?

Kama ni msamaha basi aliyestahili angalau kusikilizwa na kachero Membe ni ASKOFU MWAMAKULA kwani wote ni mashahidi alisimama na kweli hata kipindi kile tunapitishwa kwenye moto.

Msiba anastahili kulipa gharama za uovu wake Ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama zake. Kama ni msamaha huuombwa na mtu mwenyewe aliyekosa kwanza. Yule jeuri na mwehu hakuwahi kuomba msamaha licha ya nafasi aliyopewa.

Kila mmoja ataubeba msalaba wake mwacheni Msiba aubebe Msiba wake. Pengo na Malasusa acheni unafiki huu utaliangamiza taifa. Huyu kichaa SI wa kusamehewa hata kidogo.Au Hawa watumishi ni chawa wa Msiba?

Membe shikilia hapo hapo na mnada wa Mali zake za wizi urushwe live TBC taifa Kila mtanzania aone jinsi mshahara wa dhambi ulivyo mauti. Kwani wale waliomuunga mkono wako wapi Leo?
#membealipwetu#
Mafisadi wanaendelea kupiga pesa na wewe usiyejielewa kodi zako zinapigwa umekalia kuandika uharo mitandaoni uliojaa chuki na visasi eti Membe shikilia hapo hapo itakusaidia nini sasa huku mafisadi wakiendelea kuchezea kodi zetu kwa raha zao
 
we ndiyo akili yako imeyumba, ameeleza vizuri sana kuwa walikuwa wapi wakati anadhalilisha wenzake? Km ni amani, ndiyo wanaona leo? Pengo yuko upande wa Musiba na Magufuli, alikuwa anafurahia Musiba alipokuwa anatumika kudhalilisha wazee waliotumikia nchi hii kumfurahisha Magufuli akifikiri Magufuli ni Mungu hatakufa. Viongozi wa dini wamejisahau nao wanaangalia maslahi yao
Wakati Magufuli anazalilishwa na Mange kimambi, Tobias Marandu nyie nyumbu mlikuwa wapi? Mbona hamkukemea
 
Mafisadi wanaendelea kupiga pesa na wewe usiyejielewa kodi zako zinapigwa umekalia kuandika uharo mitandaoni uliojaa chuki na visasi eti Membe shikilia hapo hapo itakusaidia nini sasa huku mafisadi wakiendelea kuchezea kodi zetu kwa raha zao
Sijielewi vp? Ndio maana tunapigania katiba Mpya sisi tunaojielewa maana kwa hiii tuliyo nayo hatuna chochote cha kuwafanya watawala hata wakiamua kuiuza nchi, wewe kenge ukiambiwa katiba Mpya unadai wananchi hawali katiba, halafu hapa unajamba ooo CAG sijui kafanya nini na ripoti yake. Jielewe wewe
 
Hata wewe haupo msafi au mwema ndio maana Mwenyezi Mungu amekusamehe hajakuhukumu acha nakala zako za chuki na visasi zilizojaa unafiki
Kuuliza wakati huyo kichaa anatukana na kukashfu watu hao viongozi wanafiki wa dini walikuwa wapi ni chuki?
 
Watanzania wengi ni WAPUMBAVU sana, ripoti ya C.A.G haijafanyiwa kazi. Gharama za maisha zimepanda sana kwa wananchi wa kawaida walio wengi na ufisadi kila sehemu. Wanasiasa wamewageuza wananchi mazuzu wanawachezesha gwaride wanavyotaka na JF yote kwenye siasa mnajadili watu wawili Membe na Misiba, mna akili kweli!?!?.., hakuna mambo ya msingi ya kujadili zaidi ya Membe na Musiba!?
Kweli kabisa !
 
Unajua kwanini shetani hakupewa msamaha? Unataaka kusema Mungu hapendi amani?
Tuwaelimishe tu Hawa wakariri mistari ya biblia bila kuelewa maana zake Wana shida sana ni sawa na wavuta sigara bwege kaka hawaambiliki na hawaelewi hata kidogo
 
Hivi wakati huyu Msiba anatukana, kukashfu na kutishia watu, wao walikuwa wapi?

Maaskofu wa Kanisa Katoliki waliwahi kuandika Waraka kukemea maovu wakati wa Magufuli lakini Pengo aliukana waraka ule. Leo yeye wa kumwombea Msiba msamaha kweli?

Viongozi wa dini walikaa kimya hawakuonya chochote kipindi kile cha Giza wakati uovu ukitendwa hadharani au kazi yao SI kukemea Bali kuwaombea msamaha wahalifu wa wakati huo. Na kwa nini msamaha uwe ni kwa Msiba tu?

Kuna watanzania wangapi wameonewa lkn hawakuwaombea msamaha kwa waliowaonea?

Kama ni msamaha basi aliyestahili angalau kusikilizwa na kachero Membe ni ASKOFU MWAMAKULA kwani wote ni mashahidi alisimama na kweli hata kipindi kile tunapitishwa kwenye moto.

Msiba anastahili kulipa gharama za uovu wake Ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama zake. Kama ni msamaha huuombwa na mtu mwenyewe aliyekosa kwanza. Yule jeuri na mwehu hakuwahi kuomba msamaha licha ya nafasi aliyopewa.

Kila mmoja ataubeba msalaba wake mwacheni Msiba aubebe Msiba wake. Pengo na Malasusa acheni unafiki huu utaliangamiza taifa. Huyu kichaa SI wa kusamehewa hata kidogo.Au Hawa watumishi ni chawa wa Msiba?

Membe shikilia hapo hapo na mnada wa Mali zake za wizi urushwe live TBC taifa Kila mtanzania aone jinsi mshahara wa dhambi ulivyo mauti. Kwani wale waliomuunga mkono wako wapi Leo?
#membealipwetu#
Wewe ndio unaona ni unafiki ila wenzako walikuwa wanafaidi
 
Hivi wakati huyu Msiba anatukana, kukashfu na kutishia watu, wao walikuwa wapi?

Maaskofu wa Kanisa Katoliki waliwahi kuandika Waraka kukemea maovu wakati wa Magufuli lakini Pengo aliukana waraka ule. Leo yeye wa kumwombea Msiba msamaha kweli?

Viongozi wa dini walikaa kimya hawakuonya chochote kipindi kile cha Giza wakati uovu ukitendwa hadharani au kazi yao SI kukemea Bali kuwaombea msamaha wahalifu wa wakati huo. Na kwa nini msamaha uwe ni kwa Msiba tu?

Kuna watanzania wangapi wameonewa lkn hawakuwaombea msamaha kwa waliowaonea?

Kama ni msamaha basi aliyestahili angalau kusikilizwa na kachero Membe ni ASKOFU MWAMAKULA kwani wote ni mashahidi alisimama na kweli hata kipindi kile tunapitishwa kwenye moto.

Msiba anastahili kulipa gharama za uovu wake Ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama zake. Kama ni msamaha huuombwa na mtu mwenyewe aliyekosa kwanza. Yule jeuri na mwehu hakuwahi kuomba msamaha licha ya nafasi aliyopewa.

Kila mmoja ataubeba msalaba wake mwacheni Msiba aubebe Msiba wake. Pengo na Malasusa acheni unafiki huu utaliangamiza taifa. Huyu kichaa SI wa kusamehewa hata kidogo.Au Hawa watumishi ni chawa wa Msiba?

Membe shikilia hapo hapo na mnada wa Mali zake za wizi urushwe live TBC taifa Kila mtanzania aone jinsi mshahara wa dhambi ulivyo mauti. Kwani wale waliomuunga mkono wako wapi Leo?
#membealipwetu#
Siku musiba akitoka hadharani na kumuomba Mzee Membe, wastaafu na watanzania wote aliowachafua nitakuwa wa kwanza kumshawishi kachero Membe kumsamehe lkn vinginevyo MEMBEapewe pesa zake alidhalilishwa sana
 
Watanzania wengi ni WAPUMBAVU sana, ripoti ya C.A.G haijafanyiwa kazi. Gharama za maisha zimepanda sana kwa wananchi wa kawaida walio wengi na ufisadi kila sehemu. Wanasiasa wamewageuza wananchi mazuzu wanawachezesha gwaride wanavyotaka na JF yote kwenye siasa mnajadili watu wawili Membe na Misiba, mna akili kweli!?!?.., hakuna mambo ya msingi ya kujadili zaidi ya Membe na Musiba!?
Kwa hiyo unawataka watanzania wafanye nini Sasa hebu weka ushauri wako sio una laumu tu
 
Back
Top Bottom