Kardinali Pengo: Wanaomuita Rais Dikteta wajitafakari upya. Je, watoto kusoma bure na kujenga Hospitali ni udikteta?

Ngoja tuone...

Lazima asifie, la sivyo ataambiwa akaoneshe kaburi la bibi wa bibi yake bibi yake ili kuthibitisha uraia wake...


Cc: mahondaw
Kama tuna maRC na maDC wanajeshi wastaafu, kuna kosa gani Askofu mstaafu kusifia ili ateuliwe kuwa DC akingoja kuchaguliwa kuwa Papa? Wateule vijana wanamuangusha mteuaji labda ajaribu wastaafu maana hakuna mteule mwanajeshi aliyetenguliwa.
 
Mzee wetu ungenyamaza walaa usinge rudi kua padre ungendelea kua cardinal
Jua we ni kinywa cha wengi sana
Kuna watu umewadissapoint sana kuna watu umewafurahisha sana
 
Akili ikiwa nama-Pengo huwezi kuongea point... elimu bure sio kiashiria cha kutokuwepo udikteta! Enzi za Roma empire udikteta ulitwala hivyo sishangai huyumtu kutetea ukandamizwaji wa baadhi ya watu bila haya
 
Watalaam wa akili za wanadamu duniani eti wanasema ukishafika miaka 75 inakuwa mwisho wa kuwa creative yaani IQ yako imefikia kikomo then akili inaanza kurudi utotoni mdogo mdogo..!!
 
Kabla yake hospitali hazikujengwa? Watu hawakusoma bure. Ujenzi wa hospitali na elimu imeanza baada ya Magufuri kuwa rais mzee hebu jiheshimu.
 
Tanzania ni nchi ya hovyo sana. Yani viongozi wa dini hawaogopi kabisa kulaghai na kutetea mitumbo yao....sasa kama viongozi wa dini wenyewe hawamwogopi MUNGU, sisi tumuogope wa nini?
Mkuu usifuate mkumbo, hata kiongozi wa dini mbele za Mungu ni binadamu wa kawaida tu kama wewe!
 
MI HUWA nasikia mapadre wengi ni wasomi an usomi maana yake sio kuwa na vyeti vyenye GPA bali uwezo wako wa kutafakari na kudadavua masuala mbali mbali,kweli JPM kafanya mengi ila maendeleo gani yanaendana na ubaguzi,ubabe,hofu ba dhuluma,watu wamebomolewa nyumba ubungo kimara ujenzi hadi leo hujafanyika,wapinzani wanaishi kama watumwa ndani ya nchi yao,ukimkosoa wewe adui ukimsifia wewe rafiki,kwa nn hajiulizi kama anafanya mengi mazuri kwa nn uoga mkubwa,hajiamini ye kuvaa kijeshi tu,kutishia tu,kuwamaliza wapinzani tu,kwa nn kaogopa hadi uchaguzi wa s/mitaa kwa nn kama yuko at right kuna nn nyuma yake,huyu mzee nahc anavuna fadhila na akili ya usomi inapungua kwa kasi na akili ya uzee inaingia kwa kasi
 
Hoja za Kardinali ni hoja zake binafsi na Sio hoja za Kanisa, hivyo basi maoni yake yaheshimiwe kama mtanzania yeyote mwenye haki yakueleza mapendekezo yake.
 
Hoja za Kardinali ni hoja zake binafsi na Sio hoja za Kanisa, hivyo basi maoni yake yaheshimiwe kama mtanzania yeyote mwenye haki yakueleza mapendekezo yake.
Lkn anawafuasi na anawakilisha
 
Anaharibu sifa na heshima aliyojijengea kwa kukubali kuwa mpiga debe wa bashite ambae atowezafanikiwa dhima yake ya kuendelea kuwa kiongozi baada ya awamu hii.
 
Tungepata mtu kama Adolf Hitler au Musolin atuongoze Tanzania kwa miaka 20 nadhani tungeweza ongea lugha moja maana tumezoea fyokofyoko sana.

Tunahukumu ubaya wao kwa kusoma historia ambayo tuliandikiwa na muingereza kipindi wanatugombani. Tunafuata mkumbo wa kuwachukia kwa chuki ya kupandikizwa.

Kinachoshangaza zaidi mazuri yaliofanywa na Hitler na Mussolini hayasemwi.
NB: Magufuli anatosha kwani anauthubutu, hana porojo nyingi yeye ni utendaji. Aongezewe muda angalau 30 years inatosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…