Kardinali Pengo: Wanaomuita Rais Dikteta wajitafakari upya. Je, watoto kusoma bure na kujenga Hospitali ni udikteta?

Hana hasara ashamaliza dunia yuko saa 10 jioni.Asikitikii kizazi kilichobaki.Amelelewa ktk mfumo wa udikteta wa kanisa ambapo muumini uruhusiwi kuhoji juu ya mafundisho yeyeto ya kanisa zaidi ya kuyapokea.
Catholic siyo taasisi ya kidikteta ila huyu mzee pengo anatuangusha kwa kulazimisha kuingiza u-ccm wake kwenye dini yetu pendwa. Ameisha retire, kama anataka siasa achukue jezi la kijani apande jukwaani apige siasa.
 
Kardinali Pengo anawaza nani atafuata baada ya Rais magufuli.......Takbiiiiiiiiiirrrrrrrrrrr
 
Huyo Pengo anasikitisha sana,sijui kwanini amelazimika kuongea hayo. Of all the people, kweli anawasifu Mussolini na Hitler! Mamilioni ya watu waliteseka na kufa kwa sababu ya hao punguani, halafu leo yeye anawasifu! Huyu atakuwa anti-semitic,sio bure. Halafu mtu umestaafu,ya nini kuendelea kuwa mouthpiece ya watu wa ovyo, huwezi tu kujipumzikia kwa amani.
 
Vyuma vimekaza ,uwezo wetu wakifikiri umeisha
 
Kumbe una habari ya mema ya Hitler na Mussolini?
Kama ungeongozwa na Hitler angalau usingepata nafasi kuwafundisha watoto wako imani hii maana angekusterilize mara moja (kwa bahati mbaya hakupenda watu weusi akiamini wasizae...).
Maelezo ya ubaya wa Hitler nimesikia kutoka kwa Wajerumani, mabaya ya Mussolini kutoka kwa Waitalia (si kutoka Waingereza au nani hii...)
 
Pengo ni Mtumishi wa Mungu huwa hana unafiki
nitajie mtoto wa TANZANIA Mmoja anayesoma bure. watoto wa Tanzania hawalipi ada tu.
nani analipa nauli?
nani anawapa chakula wakiwa shuleni?
nani anawanunulia uniform?
nani anawalipia matibabu?
bure katika elimu ni nini? inaanzia wapi na kuishia wapi? muulizeni huyo anayebwabwaja kwamba anatoa elimu bure awambie wakati wa nyerere elimu bure ilikuwaje na sasa ipoje? muulize kama alikuwa analipa nauli ya tren kuja UDSM?
UNAMLIPIA MTU ADA SM/SEC. ambayo ni ndogo akifika chuo kwenye ada kubwa unafunga vioo? mzazi aliyeshindwa kulipa 20000/ ataweza kulipa 1000000/ ada ya chuo kweli?
Kulipia watoto ada sio hisani ni kodi zetuu. situchoshe na viswahili vyenu vibovu
 
GUSSIE,
pengo angefafanua kidogo hii..... kuna sheria gani ya manunuzi inayomruhusu raisi kumuita mtengeneza ndege na kuzungumzanae wakiwa wawili na kuagiza ndege? je akipewa discount cc tutajuaje? atwambie issue ya kuhamia dodoma ilipitishwa katika kikao gani maana hata kwenye ilani haipo
 
Ilishasemwa mara nyingi tu kuwa Kanisa Katoliki liko nyuma ya madikteta wengi duniani. Si ajabu Papa John Paul wa pili aliuomba radhi ulimwengu mwaka 2000 kwa kitendo cha Kanisa Katoliki kukaa kimya bila kuwakemea wale madikteta Wakatoliki Hitler na Mussolini.
 
Kardinali Pengo anawaza nani atafuata baada ya Rais magufuli.......Takbiiiiiiiiiirrrrrrrrrrr
Naamini kanisa ndo huandaa viongozi wa Taifa hili,Si muna juwa ule mfumo Kriii s tooo
 
Wewe umepatia ,hizo ndo sera zao,Alimradi mradi wao uwaendee vizuri.
 
Pengo ni Mtumishi wa Mungu huwa hana unafiki
Hata Yuda Iskariote alikuwa mwanafunzi mtiifu wa Yesu... Hata Petro aliyemkana Yesu alikuwa mwanafunzi wa Yesu...
Usimwamini mwanadamu hata kama ni baba yako kwa maana muda wowote "zinaweza kufyatuka" ama "akajifyatua!!"
Mbona wengi tu tunawaona wanavyojitia UHAMNAZO
 
Ni neno la kuaminiwa;mtu akitaka kazi ya askofu ,atamani kazi njema.
Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkaribishaji, ajuaye kufundisha.

Asiyependa fedha,mwenye kusimamia nyumba yake vizuri, si mpendelea ulevi,

Tena anapasws kushuhudiwa mema na watu walio nje, ili asianguke kwenye lawama na mitego ya ibilisi.

Ndivyo ipasavyo watu kuenenda katika nymba ya Mungu, iliyo kanisa la Mungu aliye hai,nguzo na msingi wa kweli.
 
kadinali wetu jamani alitoa maneno ya busara sana ya kumsifia Hitler na Musollini kwamba wanazungumziwa kwa mabaya tu lakini walifanya mazuri pia mathalani alisema ya kwamba Mussolini alitokomeza malaria katika jiji la Roma lakini HAJATUAMBIA KAMA MAISHA YALIYOOKOLEWA KWA KUTOKOMEZA MALARIA YANAFANANA NA WATU WALIOULIWA NA MUSSOLINI

Kadinali wetu pia akumbuke ya kwamba SHETANI PIA ANA MAZURI YAKE INGAWA KILA SIKU MAKANISANI ANALAUMIWA KWA MABAYA ni vyema mzee pengo aongelee hilo pia,ukitaka utajiri anakupa,umaarufu anakuwezesha kuishi kifalme hapa Duniani,mbona Pengo asisemee na hilo pia? Satan is Good - TV Tropes
HII HAPA LINK YA HOTUBA YA PENGO ILIYO NA SUBTITLES ZA ENGLISH NAOMBA MUISAMBAZE DUNIANI KOTE ILI MANENO YA HEKIMA YA MZEE PENGO YAWAFIKIE BINADAMU WENGI
 
Mimi namwombea asimsifie na shetani!! Kwa sababu shetani anatoa unabii kupitia manabii wa uwongo, kupitia huyo huyo shetani watu wanapokea miujiza ya kuponywa na hata utajiri! Je, hayo aliyoyafanya shetani ni mabaya?

Lakini pamoja na hayo yote sehemu yake imeshaandaliwa kuwa ni jehanamu
 
shetani pia nasaidia watu wanapata umaarufu na pesa wanaishi maisha ya raha ,sasa mkuu unapopata chance sambaza hiyo video tumsaidie mzee wetu kusambaza maneno yake ya busara duniani kote
 
Hao wana watu wao kila mahali na wala hawahitaji wewe kuwaambia Kardinali wa TZ kasema nini, wanajua tayari na ukiwaona kimya ujue ni peanut.

Unakumbuka Raisi Magufuli alivyoongelea huko vijijini khs watu wazaliane ilivyosambaa kwenye newsmedia za Muzungu? Nani aliwaambia wakati aliongelea Mikoani huko?

Isitoshe a Black man can never antisemitic. Antisemitism ni Vita baridi kati ya Muzungu conservative right na left globalist communist, hivyo black man hahusiki hapo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…