Binafsi siamini kuwa yaliyoandikwa na mleta uzi ndiyo yaliyotamkwa na Askofu mkuu mstaafu. Kama Askofu mkuu mstaafu Kardinali Policarp Pengo katamka kuwa Musolini na Hitler wanaonewa kwa kusemwa kwa mabaya tu, basi ni heri kusema kapotoka. La sivyo, atoe ufafanuzi wa kina kwa kauli hiyo.