Watu wanamsimanga Haji Manara kana kwamba huyo Karia ni malaika au mtakatifu fulani hivi! Kumbe na yeye ni wale wale tu.Nilimdharau Karia kuanzia siku alisema 'msilete Utundu Lisu". tangu siku hiyo nilianza kumuona kuwa mtu mwenye akili ndogo kama mtoto wa chekechea
Kwa hiyo huyo Karia wenu ndiyo mnamuona wa maana! Kumbe ni mhamiaji mmoja tu haram kutoka Somalia huko.Karia anaonekana kumnyooshea kidole tu uyo unayemsafisha . Lakini kijana mjeuri anaonekana kama alitaka wazichape na Karia huku akirusha maneno . Apigwe Ban tu hata 10yrs
Huyo mpole si aliingia,akawa anazubaa na mpira asijue wapi apeleke Hadi anaporwaNakazia hapa mgunda apewe timu ya taifa.
Yule mzungu katufanga sie hatujui mpira mpaka anaacha mpole nje anaanzisha mtu ambaye hana timu. Katudharau sana yule mlung'u
Tayari stimu na game hakuwa nayo maana alishapata disappointment ya kutokuanza game ukizingatia last match alikuwa kafungaHuyo mpole si aliingia,akawa anazubaa na mpira asijue wapi apeleke Hadi anaporwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Zeruzeru atajuta Safari hii. Yaani atapanua domo juu uu
Kwa nini achukiwe yeye tu na sio mwingine?mda utaongea. Ila nimegundua watu wanachuki na manara sanaaa.
Mkuu Useme wasomali ndo Tabia zao unakuwa hujatutendea haki sie wengine.. Hyo ni Tabia ya yule tu MshambaMshamba.. Wasomali hatuko hvoYule Msomali shida, ndizo tabia zao.
[emoji106][emoji106]Mkuu Useme wasomali ndo Tabia zao unakuwa hujatutendea haki sie wengine.. Hyo ni Tabia ya yule tu MshambaMshamba.. Wasomali hatuko hvo
Labda uone kinafiki,ila ukiiona vizuri unaona wote wanarushiana maneno,kikubwa tusubiri hizo audio tujiridhishe walichokua wakijibishanaSote video tumeiona, leta hizi sauti tuzisikie pia.
Bado huyo,acha kumteteaTayari stimu na game hakuwa nayo maana alishapata disappointment ya kutokuanza game ukizingatia last match alikuwa kafunga
Kwa nini tusimtetee mtu ambaye baada ya hiyo mechi ya taifa karudi kwenye ligi kafunga mechi mbili mfululizo. Huyu mzungu asitufanye sje maboya. Sawa hatujuii mpira kivileee lakini sio kwenye level ya kutokujua nani anastahili kuanza kwenye lineupBado huyo,acha kumtetea
Teh huu ndio upenyo wa Yanga sasa kuweka mtu wake pale TFF, huyo kolo aanze kufungasha viragoManara atajuta Safari hii. Yaani atapanua domo juu uu
Anafunga magoli gani huko ligi kuu!?..tap ins au!?..na kwa nini stars anakua mzito!?..sababu anacheza na wanaojua,anahitaji muda mwingi kufanya maamuzi akiwa na mpira...kocha ndiye ajuaye yupi anafaa kwenye mfumo wakeKwa nini tusimtetee mtu ambaye baada ya hiyo mechi ya taifa karudi kwenye ligi kafunga mechi mbili mfululizo. Huyu mzungu asitufanye sje maboya. Sawa hatujuii mpira kivileee lakini sio kwenye level ya kutokujua nani anastahili kuanza kwenye lineup