Karia uongozi wa TFF umemshinda huo ndo ukweli

Karia uongozi wa TFF umemshinda huo ndo ukweli

Mpigania uhuru wa pili

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2023
Posts
3,380
Reaction score
6,376
Kiukweli ukiangalia matukio mengi ya mpira kwa Tanzania chanzo ni uongozi mbovu tunafanya mambo kwa kubembelezana sana hakuna professionalism kabisa

Ligi ya series A wanaadhibu timu bila kujali ukubwa juventus walishashushwa daraja na ac milan kukatwa point

Mpira wetu ili uendelee tunatakiwa tuache kubembelezana na unafki na hii tabia ya unafki inatufanya hata kupiga vita umaskini inakua ngumu sana

Kama kweli tunataka mpira wa Tanzania ufike mbali karia hafai kuendelee kuwa kiongozi

Sahivi kuna timu mbili watu wanajiamulia watakavyo lazima watu waambiwe bila wao ligi itachezwa tu tuache mambo ya kubembelezana
 
Kiukweli ukiangalia matukio mengi ya mpira kwa Tanzania chanzo ni uongozi mbovu tunafanya mambo kwa kubembelezana sana hakuna professionalism kabisa

Ligi ya series A wanaadhibu timu bila kujali ukubwa juventus walishashushwa daraja na ac milan kukatwa point

Mpira wetu ili uendelee tunatakiwa tuache kubembelezana na unafki na hii tabia ya unafki inatufanya hata kupiga vita umaskini inakua ngumu sana

Kama kweli tunataka mpira wa Tanzania ufike mbali karia hafai kuendelee kuwa kiongozi

Sahivi kuna timu mbili watu wanajiamulia watakavyo lazima watu waambiwe bila wao ligi itachezwa tu tuache mambo ya kubembelezana
Kila aina ya ujinga muufanyao anaangushia yeye, huoni rundo la mazuri yake au watu mnayo maradhi ya asili yasiyotibika
 
Kila aina ya ujinga muufanyao anaangushia yeye, huoni rundo la mazuri yake au watu mnayo maradhi ya asili yasiyotibika
Mabaya ni mengi kuliko mazuri ligi gani kila mtu ni kambale

Kwa watu waliostarabika karia ameshajiuzulu mda sana ila huku ni jamii ambayo ipo kwenye evolution wewe unaona ni kawaida
 
Kwakua viongozi waliopita, nani amekua na mafankio zaidi ya karia kiasi cha sisi kutupatia ujasiri wa kumkataa?
Mafanikio aliyoyapata ni kwa sababu tu dunia imebadilika kwenye afcon zamani ilikuwa ni nafasi 16 ila sahivi ni 24 ndo maana inakuwa ni rahisi kwa sisi kufuzu

Kwenye club bingwa hivyo hivyo wanapanga based on merits zaman timu ya Tanzania kwenye mtoano tu lazima upangiwe al ahaly ndo maana timu kufika makundi ilikuwa ngumu

mfano kwenye mziki msanii wa leo atakua na mabadiliko zaidi ya wazamani kwa sababu hategemei redio apate ela kuna vyanzo vingi sana vya kuingiza fedha

Karia
 
Mpira wa Tz hauwezi kukua hadi timu ya Yanga na followers wake waaadhibiwe kwa uhuni wanaofanya mara kwa mara, Simba wanafanyiwa fujo nyingi sana yule mkuu wa mkoa wa mwanza nae kisa ni shabiki wa yanga alienda kuwafanyia simba fujo mazoezini.

Jana tena simba kafanyiwa fujo na mabaunsa wa Yanga , bado mambo mengi Yanga wanafanya ikiwepo upangaji wa matokeo kuna timu huko singida iliamua kupanga kikosi ambacho siyo cha ushindani ili kupanga matokeo yanga ishinde, ujinga kama huu ndo maana Yanga inaishia kucheza ligi ya ndani tu kimataifa itaendelea kuwa na maisha magumu sana
 
Mpira wa Tz hauwezi kukua hadi timu ya Yanga na followers wake waaadhibiwe kwa uhuni wanaofanya mara kwa mara, Simba wanafanyiwa fujo nyingi sana yule mkuu wa mkoa wa mwanza nae kisa ni shabiki wa yanga alienda kuwafanyia simba fujo mazoezini.

Jana tena simba kafanyiwa fujo na mabaunsa wa Yanga , bado mambo mengi Yanga wanafanya ikiwepo upangaji wa matokeo kuna timu huko singida iliamua kupanga kikosi ambacho siyo cha ushindani ili kupanda matokeo yanga ishinde, ujinga kama huu ndo maana Yanga inaishia kucheza ligi ya ndani tu kimataifa itaendelea kuwa na maisha magumu sana
Yanga na simba wote ndo wanaoaribu mpira wa Tanzania ukianza kusema huyu huyu ni mwema alafu mwingine anakosea unakosea

Mfano mechi ya namungo refa kaaribu mechi maksudi kwa kutoa kadi ya uongo hata bodi ya ligi wamethibitisha ni ya uongo

Yanga wanamakosa mengi nikisema niyaandike sitayamaliza
 
Yanga na simba wote ndo wanaoaribu mpira wa Tanzania ukianza kusema huyu huyu ni mwema alafu mwingine anakosea unakosea

Mfano mechi ya namungo refa kaaribu mechi maksudi kwa kutoa kadi ya uongo hata bodi ya ligi wamethibitisha ni ya uongo

Yanga wanamakosa mengi nikisema niyaandike sitayamaliza
Sasa kosa la refa kutoa kadi ni la timu au refa?
 
usifuge matatizo mkuu

Mpira wa Tz hauwezi kukua hadi timu ya Yanga na followers wake waaadhibiwe kwa uhuni wanaofanya mara kwa mara, Simba wanafanyiwa fujo nyingi sana yule mkuu wa mkoa wa mwanza nae kisa ni shabiki wa yanga alienda kuwafanyia simba fujo mazoezini.

Jana tena simba kafanyiwa fujo na mabaunsa wa Yanga , bado mambo mengi Yanga wanafanya ikiwepo upangaji wa matokeo kuna timu huko singida iliamua kupanga kikosi ambacho siyo cha ushindani ili kupanga matokeo yanga ishinde, ujinga kama huu ndo maana Yanga inaishia kucheza ligi ya ndani tu kimataifa itaendelea kuwa na maisha magumu sana
Kweli bhana team zinajiamulia kana kwamba hakuna mamlaka za kusimamia ligi
 
Back
Top Bottom