Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Kiukweli ukiangalia matukio mengi ya mpira kwa Tanzania chanzo ni uongozi mbovu tunafanya mambo kwa kubembelezana sana hakuna professionalism kabisa
Ligi ya series A wanaadhibu timu bila kujali ukubwa juventus walishashushwa daraja na ac milan kukatwa point
Mpira wetu ili uendelee tunatakiwa tuache kubembelezana na unafki na hii tabia ya unafki inatufanya hata kupiga vita umaskini inakua ngumu sana
Kama kweli tunataka mpira wa Tanzania ufike mbali karia hafai kuendelee kuwa kiongozi
Sahivi kuna timu mbili watu wanajiamulia watakavyo lazima watu waambiwe bila wao ligi itachezwa tu tuache mambo ya kubembelezana
Ligi ya series A wanaadhibu timu bila kujali ukubwa juventus walishashushwa daraja na ac milan kukatwa point
Mpira wetu ili uendelee tunatakiwa tuache kubembelezana na unafki na hii tabia ya unafki inatufanya hata kupiga vita umaskini inakua ngumu sana
Kama kweli tunataka mpira wa Tanzania ufike mbali karia hafai kuendelee kuwa kiongozi
Sahivi kuna timu mbili watu wanajiamulia watakavyo lazima watu waambiwe bila wao ligi itachezwa tu tuache mambo ya kubembelezana