Mazuri yanafanywa na GSM na Mo na Magoli ya Mama , wengine ni wasindikizaji tu, na kujinufaisha binafsiKila aina ya ujinga muufanyao anaangushia yeye, huoni rundo la mazuri yake au watu mnayo maradhi ya asili yasiyotibika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mazuri yanafanywa na GSM na Mo na Magoli ya Mama , wengine ni wasindikizaji tu, na kujinufaisha binafsiKila aina ya ujinga muufanyao anaangushia yeye, huoni rundo la mazuri yake au watu mnayo maradhi ya asili yasiyotibika
Mafanikio yameletwa na Goli la Mama na wadhamini wa hizi timu , hao tiefef wao ni maslaha binafsiKwakua viongozi waliopita, nani amekua na mafankio zaidi ya karia kiasi cha sisi kutupatia ujasiri wa kumkataa?
Labda tuwaulize wanamkumbuka Jamal Malinzi?Kwakua viongozi waliopita, nani amekua na mafankio zaidi ya karia kiasi cha sisi kutupatia ujasiri wa kumkataa?
Mafankio ya goli la mama enu ni yapi?Mafanikio yameletwa na Goli la Mama na wadhamini wa hizi timu , hao tiefef wao ni maslaha binafsi
Hatoshi hana uwezo wa kutatua migogoro,Kila aina ya ujinga muufanyao anaangushia yeye, huoni rundo la mazuri yake au watu mnayo maradhi ya asili yasiyotibika
Ataweza tu, tumetoka mbali sana, atleast twayaona matunda ya kazi zakeHatoshi hana uwezo wa kutatua migogoro
Lack of crisis management skills
Sasa hayo mabadiliko si yapo kwa nchi zote mbona Afcon iliyopita majirani zetu wote Kenya,Uganda na Rwanda hakuna aliyefuzuMafanikio aliyoyapata ni kwa sababu tu dunia imebadilika kwenye afcon zamani ilikuwa ni nafasi 16 ila sahivi ni 24 ndo maana inakuwa ni rahisi kwa sisi kufuzu
Kwenye club bingwa hivyo hivyo wanapanga based on merits zaman timu ya Tanzania kwenye mtoano tu lazima upangiwe al ahaly ndo maana timu kufika makundi ilikuwa ngumu
mfano kwenye mziki msanii wa leo atakua na mabadiliko zaidi ya wazamani kwa sababu hategemei redio apate ela kuna vyanzo vingi sana vya kuingiza fedha
Karia
Pamoja na kupewa penalti za mchongo na wapinzani kupewa red cards za ajabu kuwadhoofisha, bila refa kuchukuliwa hatua.Mpira wa Tz hauwezi kukua hadi timu ya Yanga na followers wake waaadhibiwe kwa uhuni wanaofanya mara kwa mara, Simba wanafanyiwa fujo nyingi sana yule mkuu wa mkoa wa mwanza nae kisa ni shabiki wa yanga alienda kuwafanyia simba fujo mazoezini.
Jana tena simba kafanyiwa fujo na mabaunsa wa Yanga , bado mambo mengi Yanga wanafanya ikiwepo upangaji wa matokeo kuna timu huko singida iliamua kupanga kikosi ambacho siyo cha ushindani ili kupanga matokeo yanga ishinde, ujinga kama huu ndo maana Yanga inaishia kucheza ligi ya ndani tu kimataifa itaendelea kuwa na maisha magumu sana
Hapo amesha lobby kuongeza muda wakae hadi Afcon 2027.....yuko radhi kuua mtu au watu abakie hapooo ....Kiukweli ukiangalia matukio mengi ya mpira kwa Tanzania chanzo ni uongozi mbovu tunafanya mambo kwa kubembelezana sana hakuna professionalism kabisa
Ligi ya series A wanaadhibu timu bila kujali ukubwa juventus walishashushwa daraja na ac milan kukatwa point
Mpira wetu ili uendelee tunatakiwa tuache kubembelezana na unafki na hii tabia ya unafki inatufanya hata kupiga vita umaskini inakua ngumu sana
Kama kweli tunataka mpira wa Tanzania ufike mbali karia hafai kuendelee kuwa kiongozi
Sahivi kuna timu mbili watu wanajiamulia watakavyo lazima watu waambiwe bila wao ligi itachezwa tu tuache mambo ya kubembelezana
Kuna mda nasemaga afrika tunabahati mbaya sana imagine karia ni moja ya viongoziHapo amesha lobby kuongeza muda wakae hadi Afcon 2027.....yuko radhi kuua mtu au watu abakie hapooo ....
Hahahaqa alifaaa awe mpiga deal kuteka zile meli kule...bahariniiiKuna mda nasemaga afrika tunabahati mbaya sana imagine karia ni moja ya viongozi