Karia uongozi wa TFF umemshinda huo ndo ukweli

Kila aina ya ujinga muufanyao anaangushia yeye, huoni rundo la mazuri yake au watu mnayo maradhi ya asili yasiyotibika
Mazuri yanafanywa na GSM na Mo na Magoli ya Mama , wengine ni wasindikizaji tu, na kujinufaisha binafsi
 
Kwakua viongozi waliopita, nani amekua na mafankio zaidi ya karia kiasi cha sisi kutupatia ujasiri wa kumkataa?
Mafanikio yameletwa na Goli la Mama na wadhamini wa hizi timu , hao tiefef wao ni maslaha binafsi
 
Kila aina ya ujinga muufanyao anaangushia yeye, huoni rundo la mazuri yake au watu mnayo maradhi ya asili yasiyotibika
Hatoshi hana uwezo wa kutatua migogoro,

Malalamiko ama migogoro inatakiwa ipatiwe ufumbuzi sahihi na kwa Wakati, (at a desired time)

Lack of crisis management skills
 
Sasa hayo mabadiliko si yapo kwa nchi zote mbona Afcon iliyopita majirani zetu wote Kenya,Uganda na Rwanda hakuna aliyefuzu
Ligi ya Tanzania ni ya 6 kwa ubora barani Africa ikizidiwa na ligi moja tu ya South Africa ukiachana na ligi nne la kiarabu zinazoizidi hayo mafanikio yote ingekuwa ni kwasabu uliyoitoa kwanini isiwe kwa Zambia,Zimbabwe,Malawi,Kenya au Uganda iwe Tanzania tu? Nani hajui miaka kadhaa tu nyuma ligi za Zambia,Congo,Guinea hata Zimbabwe zilikuwa zimeiacha hii ligi mbali sana ikiwa si miongoni hata mwa ligi 30 bora barani Africa leo tupo wapi?
 
Pamoja na kupewa penalti za mchongo na wapinzani kupewa red cards za ajabu kuwadhoofisha, bila refa kuchukuliwa hatua.
 
Hapo amesha lobby kuongeza muda wakae hadi Afcon 2027.....yuko radhi kuua mtu au watu abakie hapooo ....
 
karia hathamini mpira anauchukulia kama vile kazi ya kihuni na kitoto, hapa tz mpira na mziki ni kazi zisizo thaminiwa kabisa ndo mana anaweza kuamua vyovyote na hakuna wa kufanya chochote coz ata mashabiki wake wenyewe ni wale wale tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…