Karia: Wachezaji ambao hawakuhudhuria usiku wa tuzo wafungiwe mechi tano

Karia: Wachezaji ambao hawakuhudhuria usiku wa tuzo wafungiwe mechi tano

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF), Wallace Karia amesema wachezaji wote ambao hawakuhudhuria katika hafla ya ugawaji wa tuzo kwa wachezaji wa Ligi za ndani bila sababu za msingi wafungiwe michezo mitano ya mwanzo wa msimu ujao.

Karia amesema hayo katika hafla ya ugawaji tuzo za msimu uliomalizika wa mwaka 2022-2023 iliyofanyika usiku wa kuamkia leo Juni 13, 2023.
 
Hii habari inatrend ila mimi sikusikia katika hotuba yake sijui haya maneno aliyaongelea wapi. Kama aliyasema, nadhani alikuwa anatania.

Kilichonishangaza wachezaji wa Yanga na Azam walikuwepo ila hawakuonekana walipokaa. Kwa kuwa ni event ya TFF, timu zilizocheza fainali ya FA Cup zingepewa siti za mbele badala ya kuwekwa back bencher. Mzize mwenyewe hakwenda kuchukua tuzo yake wakati alikuwepo.
 
RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF), Wallace Karia amesema wachezaji wote ambao hawakuhudhuria katika hafla ya ugawaji wa tuzo kwa wachezaji wa Ligi za ndani bila sababu za msingi wafungiwe michezo mitano ya mwanzo wa msimu ujao.

Karia amesema hayo katika hafla ya ugawaji tuzo za msimu uliomalizika wa mwaka 2022-2023 iliyofanyika usiku wa kuamkia leo Juni 13, 2023.
Karia nae amekuwa kanuni sasa.

Kwani sheria na kanuni zinasemaje. Au mtu akikirupuka tu unafumgiwa.
 
Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini upuuzi kama huu. Na ikitokea ikawa kweli, basi huyo Karia atakuwa ni mtu wa hovyo kabisa.

 
RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF), Wallace Karia amesema wachezaji wote ambao hawakuhudhuria katika hafla ya ugawaji wa tuzo kwa wachezaji wa Ligi za ndani bila sababu za msingi wafungiwe michezo mitano ya mwanzo wa msimu ujao.

Karia amesema hayo katika hafla ya ugawaji tuzo za msimu uliomalizika wa mwaka 2022-2023 iliyofanyika usiku wa kuamkia leo Juni 13, 2023.
Hii Kauli aliiongeea muda Gani.. coz Mimi niliangalia kuanzia mwanzo hadi karibia na mwisho.. walipmtaja MVP nikaondka sikusikia hii Kauli au alirud Tena kwwnye Mic mwishoni??
 
Back
Top Bottom