Kariako igawanywe ili hii migomo isije kutokea tena

Kariako igawanywe ili hii migomo isije kutokea tena

Unajua maana Ya Central Business District Yaani CBD mjinga wewe

Duniani kote huwa kuna CBD
Ushamba na lack of international exposure kunakusumbua huelewi vitu kichwani mweupe kama kichwa cha kichaa aliyetoka kunyolewa kipara saloon
Msamehe, UWT akili zao zinawaza mizinga kwa wafanyabiashara
 
Husler kazi anayo.
Na mbaya zaidi aliingia kwa ushindi mdogo sana. Halafu yeye na makamu wake hawapatani sasa hivi. Panapo uzima uchaguzi ujao hatoboi. Ingekuwa katiba yao ni hii inayoruhusu kuunda serikali ya mseto, ingeweza kuvunjika karibuni.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Vifaa vya ujenzi vikauzwe bunju
Vifaa vya umeme kibamba
Vifaa vya ndani mbagala
simu ndio zibaki kariakoo
Nguo gongolamboto
Iwekwe order baada ya miez 3
Wanunuzi Toka Zambia, Malawi,Congo na Burundi waanze kutafuta na kuzunguka mitaa yote hiyo?😳
 
Na mbaya zaidi aliingia kwa ushindi mdogo sana. Halafu yeye na makamu wake hawapatani sasa hivi. Panapo uzima uchaguzi ujao hatoboi. Ingekuwa katiba yao ni hii inayoruhusu kuunda serikali ya mseto, ingeweza kuvunjika karibuni.
Na kwa kinachoendelea hapa huo uchaguzi ujao hata si wa kufikiria, ni kuvuka kwanza hapa.
 
Wanunuzi Toka Zambia, Malawi,Congo na Burundi waanze kutafuta na kuzunguka mitaa yote hiyo?😳
Kibarua mwajiriwa serikalini mjinga huyo hajawahi uza hata fungu la nyanya Mpumbavu huyo msamehe bure

Hopeless kabisa huyo
 
Vifaa vya ujenzi vikauzwe bunju
Vifaa vya umeme kibamba
Vifaa vya ndani mbagala
simu ndio zibaki kariakoo
Nguo gongolamboto
Iwekwe order baada ya miez 3
Masoko ya Kariakoo ( DSM), Mwanza, Mbeya , Kigoma yagawanywe.

Ok...

Tufanye hivi..
Vifaaa vya ujenzi viuzwe Kigoma.
Vifaa vya umeme viuzwe Njombe.
Vyombo viuzwe Mtwara
Nguo ziuzwe Mbeya..
Simu ziuzwe Dar es Salaam.
Iwekwe order maiaka 3
 
Vifaa vya ujenzi vikauzwe bunju
Vifaa vya umeme kibamba
Vifaa vya ndani mbagala
simu ndio zibaki kariakoo
Nguo gongolamboto
Iwekwe order baada ya miez 3
Alafu mtu kama huyu anapewa uongozi na CCM kwanini nchi isiwe ya ovyo?
 
Back
Top Bottom