Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Msamehe, UWT akili zao zinawaza mizinga kwa wafanyabiasharaUnajua maana Ya Central Business District Yaani CBD mjinga wewe
Duniani kote huwa kuna CBD
Ushamba na lack of international exposure kunakusumbua huelewi vitu kichwani mweupe kama kichwa cha kichaa aliyetoka kunyolewa kipara saloon
wakenya wanafahamu haki zaoNatazama wakenya hapa wameingia bungeni maandamano.
Na mbaya zaidi aliingia kwa ushindi mdogo sana. Halafu yeye na makamu wake hawapatani sasa hivi. Panapo uzima uchaguzi ujao hatoboi. Ingekuwa katiba yao ni hii inayoruhusu kuunda serikali ya mseto, ingeweza kuvunjika karibuni.Husler kazi anayo.
Wanunuzi Toka Zambia, Malawi,Congo na Burundi waanze kutafuta na kuzunguka mitaa yote hiyo?😳Vifaa vya ujenzi vikauzwe bunju
Vifaa vya umeme kibamba
Vifaa vya ndani mbagala
simu ndio zibaki kariakoo
Nguo gongolamboto
Iwekwe order baada ya miez 3
Na kwa kinachoendelea hapa huo uchaguzi ujao hata si wa kufikiria, ni kuvuka kwanza hapa.Na mbaya zaidi aliingia kwa ushindi mdogo sana. Halafu yeye na makamu wake hawapatani sasa hivi. Panapo uzima uchaguzi ujao hatoboi. Ingekuwa katiba yao ni hii inayoruhusu kuunda serikali ya mseto, ingeweza kuvunjika karibuni.
Kibarua mwajiriwa serikalini mjinga huyo hajawahi uza hata fungu la nyanya Mpumbavu huyo msamehe bureWanunuzi Toka Zambia, Malawi,Congo na Burundi waanze kutafuta na kuzunguka mitaa yote hiyo?😳
Ila hawa maiti hawatakaa waamke kutokana tumejaa roho mbaya na unafkiAfrica imeanza kuamka sasa
Anza kujitoa mhanga wewe kwanza uone ffu watakavyo kuf*ra .hahaHahahahahah nchi haaishiwi vioja
wananchi wengi ni maiti
umeandika nini?Anza kujitoa mhanga wewe kwanza uone ffu watakavyo kuf*ra .haha
Hivyo hivyo ulivyoelewaumeandika nini?
Masoko ya Kariakoo ( DSM), Mwanza, Mbeya , Kigoma yagawanywe.Vifaa vya ujenzi vikauzwe bunju
Vifaa vya umeme kibamba
Vifaa vya ndani mbagala
simu ndio zibaki kariakoo
Nguo gongolamboto
Iwekwe order baada ya miez 3
Alafu mtu kama huyu anapewa uongozi na CCM kwanini nchi isiwe ya ovyo?Vifaa vya ujenzi vikauzwe bunju
Vifaa vya umeme kibamba
Vifaa vya ndani mbagala
simu ndio zibaki kariakoo
Nguo gongolamboto
Iwekwe order baada ya miez 3
Duh nomaVifaa vya ujenzi vikauzwe bunju
Vifaa vya umeme kibamba
Vifaa vya ndani mbagala
simu ndio zibaki kariakoo
Nguo gongolamboto
Iwekwe order baada ya miez 3
Naona Kuna hapa Kuna hoja.Vifaa vya ujenzi vikauzwe bunju
Vifaa vya umeme kibamba
Vifaa vya ndani mbagala
simu ndio zibaki kariakoo
Nguo gongolamboto
Iwekwe order baada ya miez 3