Ma ma ma e,let us go boyyyyyyyyyys.Come on Yanga.
PoleNa chura mwenye kichwa cha Sakayo
daaa hawa vyura wanatukazia ila watawala tuuu ni swala la muda tuSiamini nachokiona 😠😠😠😠😠😠
Ila sasa mpira ndiyo unakua mtamuuuuuuuuuu. Yanga mmetuchokoza
Kumbe wewe shabiki mkubwa... bravoYanga fire. Wanakumbusha when I was 8 yrs Old. Yanga ya kina Edibily Lunyamila. Haina kukata tamaa.
Mechi kubwa kama hii refa anatoa penati nyepesi hivyo...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yanga ikishinda leo nadukua bank kuu.. namwaga hela barabarani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
wekundu wa mkia mmetunyanyasa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni tokea nipo mtoto.Mpira ipo kwenye my blood.Ninahisi nina hormone za kiume zimezidi kidogo .HahahahahahahKumbe wewe shabiki mkubwa... bravo
Hamuwezi Kushinda acha kujipa Moyo [emoji848][emoji1787][emoji1787]Yanga ikishinda leo nadukua bank kuu.. namwaga hela barabarani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
wekundu wa mkia mmetunyanyasa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Lipi hilo?Hahahaha utafikiri unashangilia lile gooli lingine lillee[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
No, ni hormone za kike ni kuwa wanawake walikuwa hawapati nafasi ya kushiriki mambo kama haya! mfumo dume uliwaduwaza wanawakeMimi ni tokea nipo mtoto.Mpira ipo kwenye my blood.Ninahisi nina hormone za kiume zimezidi kidogo .Hahahahahahah