Kariakoo Derby: Simba SC 2 - 2 Yanga SC | Mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara - Uwanja wa Taifa Dar

Hongereni sana mikia maana Jonisia Rukia kawabeba hamjabebeka
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hii Yanga inaweza mfunga Barcelona

Kama umemind finya ukuta hapo ulipo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
-Offside ya Nchimbi wakati hakuwa offside

- Penati ya Simba SC wakati foul imefanyika nje ya 18.

Hili ni pambano kubwa nchini, na ni miongoni mwa mapambano matatu makubwa na yenye uhasama barani Afrika lakini bado waamuzi wanafanya maamuzi mabovu!

SOKA LA BONGO NA UBONGO WAKE!
 
Ndala mmekaza 😅 mtachonga leo
Linesman angekua makini leo ingekua 1-2 ndala wangetuaibisha.
One love! Marudiano tunawabaka na kuwawowa Ndala FC...mlikua na zali leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…