KARIAKOO DERBY: Simba SC yatakata kwa kuirarua Yanga SC goli 1-0, Uwanja wa Taifa-Dar

KARIAKOO DERBY: Simba SC yatakata kwa kuirarua Yanga SC goli 1-0, Uwanja wa Taifa-Dar

Dadek! Puppy Mziki Wa Simba umemshinda Mtoto Mzuri Kaamua Kutolewa 😀😀😀

Mkude Mtu Mbaya Sana! Anamkimbiza Puppy uwanja mzima 😀😀😀
 
Mpira haujaisha bado

Tumewatanguliza kwa baiskeli ya miti hamfiki mbali

Kutangulia sio kufika


Mimi Niliwashangaa Watoto tu Wanaoamini Santa Cruz! Kumbe Kuna Watu Wazima Wa Kuwashangaa Zaidi Wanaoamini False Hope 😀😀😀
 
Back
Top Bottom