KARIAKOO DERBY: Simba SC yatakata kwa kuirarua Yanga SC goli 1-0, Uwanja wa Taifa-Dar

Mvua ya leo haikunyesha bure na hata mamlaka ya hali ya hewa hawajaweza kuiona kabisa.
 
Mmh semen ukweli ka ushindi ka leo hamkutegemea kupata ka goli ka moja tu tena okwi akiwepo daah ushind wenu tunauona kama hivi tu
Asnte simbaa yan hta kona hawajapigaaa. Na VP Yule alieshushwa na mungu alkuepooo
 
Ahsante sana Simba naona mji umepoaaa...naona tumenuniwa...!
 
Aaah nimemuhurumia babu wa watu anasepa kwa kipigo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] congrats mkuu
Dear naon huku nimekupapasa kule nikakupoza baada ya kumnyoosha babu 2-1.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…