KARIAKOO DERBY: Simba SC yatakata kwa kuirarua Yanga SC goli 1-0, Uwanja wa Taifa-Dar

KARIAKOO DERBY: Simba SC yatakata kwa kuirarua Yanga SC goli 1-0, Uwanja wa Taifa-Dar

Mpira wa Simba na Yanga ukisikia wakitambiana kwenye media hasa magazeti na redio unaweza ukasema mechi hiyo inafanana ubora na El clasico.

Kwa maneno mengine ni mechi ya nje ya uwanja zaidi, ndani ya uwanja ni hovyo tupu. Leo Simba kashinda lakini hakuna mipango wala ubora wa mechi toka kwa pande zote mbili.

All in all hongereni Simba, mwaka huu ubingwa wetu!!

This is Simba!!!!
Wooooooooozeeeeer
 
[HASHTAG]#Ndala[/HASHTAG] Muda Huu Wanavyonyoosheana Vidole

47dfcb72102dc1121cde857edb77e49b.jpg
 
Back
Top Bottom