Kariakoo Derby: Tabiri mechi itaishaje

Simba wameshajifia zamani sana leo ndiyo tarehe ya mazishi
 
Uanga anapigwa 3-1
 
Mzee kasema kuna goli 3, sasa inaweza kuwa 3-0 au 2-1 ila Simba nd mshindi.
 
mikia matokeo yenu tunayo yanga 1:0 misukule fc,mwamedi fc

nabado mnapelekwa tuanze maneno au mpira 90'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…