Kariakoo hakuna machimbo tena, kwa atakayepuuza sitaongea tena

Kariakoo hakuna machimbo tena, kwa atakayepuuza sitaongea tena

Usijisumbue kwenda Kariakoo kununua mzigo ukidhani Kuna bei nafuu
Kariakoo wamejaa wajanja na madalali tu
Unaweza ingia kwenye duka ukamkuta mwenye duka ukamuuliza bei akakuelekeza uongee na vijana wake wakuumize
Nyie watu situka Kariakoo hakufai kabisa, mawinga wameharibu uaminifu.

Matajiri wanauchukulia wateja kama wajinga, wanajua kuwa mtaenda tu.

Sasa naomba niwape machimbo mapya Kwa Dar

1. Kwa wale wa electronics nenda Tegeta pale Kibo complex utapata bei ambayo Kariakoo haipo

Pia nenda Mbagala rangi Tatu utapata electronics zote, kuanzia Tv, simu, cable

2. Nguo nenda Mwenge au Makumbusho

3. Mitumba
Usijaribu kwenda Karume au Ilala tena
Kwa mitumba ya bei nafuu, mabalo za rejareja nenda Tandika, Temeke, Tandale na Mwenge

Kanda ya ziwa, machimbo yapo Katoro

Kwa machimbo mengine, tujaribu ku share.

Ila chonde chonde Kariakoo utaishia kupandiliwa na kupigwa bei ya maana.

Kariakoo nilikuwepo Jana, nikahairisha kuchukua mzigo kisa mawinga
Hahaha
Kariakoo wwtakuroga mdomo ukae upande.

Umewasagia kunguni bila kuwwonea
 
Usijisumbue kwenda Kariakoo kununua mzigo ukidhani Kuna bei nafuu
Kariakoo wamejaa wajanja na madalali tu
Unaweza ingia kwenye duka ukamkuta mwenye duka ukamuuliza bei akakuelekeza uongee na vijana wake wakuumize
Nyie watu situka Kariakoo hakufai kabisa, mawinga wameharibu uaminifu.

Matajiri wanauchukulia wateja kama wajinga, wanajua kuwa mtaenda tu.

Sasa naomba niwape machimbo mapya Kwa Dar

1. Kwa wale wa electronics nenda Tegeta pale Kibo complex utapata bei ambayo Kariakoo haipo

Pia nenda Mbagala rangi Tatu utapata electronics zote, kuanzia Tv, simu, cable

2. Nguo nenda Mwenge au Makumbusho

3. Mitumba
Usijaribu kwenda Karume au Ilala tena
Kwa mitumba ya bei nafuu, mabalo za rejareja nenda Tandika, Temeke, Tandale na Mwenge

Kanda ya ziwa, machimbo yapo Katoro

Kwa machimbo mengine, tujaribu ku share.

Ila chonde chonde Kariakoo utaishia kupandiliwa na kupigwa bei ya maana.

Kariakoo nilikuwepo Jana, nikahairisha kuchukua mzigo kisa mawinga
Ni kweli bei ya vifaa vya ujenzi kariakoo na tegeta ni sawasawa .. nilishangaa sana nyavu za madirisha gerezani na tegeta kwa mpemba sawasawa..
 
Me nataka winga wako umlipe mshahara atafute wateja walioko majumbani
Yaani mtu kajileta dukani kwako kununua simu ambayo unauza labda laki 4 wewe unamweka mteja wako midomoni mwa winga wanampiga laki 7 Bado unaona ni raha
Wafanyabiashara wakimataifa watawahama wawe wanachukua mizigo miji mingine
Na hii ingekuwa fursa kwa mji wa Dodoma, wafanyabiashara wengi wa nje (land locked countries) wanapita Dodoma.

Mimi ningekuwa Waziri wa viwanda biashara ningefanya yafuatayo ili lengo la kupanua miji na hasa jiji la Dodoma litimie ningefanya yafuatayo:

1. Kupromote wafanya biashara kuwekeza biashara zao Dodoma.
2. Kupromote nchi za jirani kuchukua mizigo Dodoma
3. Ningeweka punguzo la ushuru kwa mzigo wowote unaotoka nje na kushushwa Mkoa wa Dodoma (hii ingechochea magodown na stoo nyingi kujengwa Dodoma ili wapokelee mizigo yao.
4. Ningeongea na vyombo vya usafiri hasa treni waweke miundo mbinu rafiki na bei ya chini sana kwa mzigo unaosafirishwa kutoka Dar es salaam kavu au bandarini kuelekea Dodoma
Kwa kufanya hivi ni ndani ya miaka mitatu Dodoma ingefurika wafanya biashara wa nje na Mikoa ya ndani na hivyo kuacha Mkoa (katikato ya nchi) ujijenge na kujitangaza wenyewe bila nguvu.

Asante
 
Wanatafuta maisha kwa kuongeza bei za bidhaa?ivi hii ni akili?
Kwani kwenye biashara unapataje faida unajua wewe ni kilaza
Hata ukiwa na duka bidhaa uliyonunua kwa bei ya jumla lazima uongeze bei ili upate faida hii iko kwa wote sio kwa winga tu
 
Inakwaza sana mteja nimekuja mwenyewe dukani mawinga zaidi ya 3-5 wanaanza kunibuguzi buguzi mteja nilie jileta kwenye Duka hii hapana.
All the best
 
Ni kweli bei ya vifaa vya ujenzi kariakoo na tegeta ni sawasawa .. nilishangaa sana nyavu za madirisha gerezani na tegeta kwa mpemba sawasawa..
Ndo maajabu ya Kariakoo ya Sasa
 
kinachonikera zaidi ni kila unapokwenda ni vifaa vya kichina tu, yani ni ma copy kwenda mbele
 
Sijuhi nianzishe Uzi mpya WA mafundi ujenzi wanavyojifanya mawinga WA wauza matofari.....ukiwa na kiwanda cha kufyatua tofari usipowapa kazi ya uwinga mafundi ujenzi biashara inakufia ...kibaya zaidi wanakushawishi wewe mjenzi ukanunue matofari "biscuit" mradi wanapata kamisheni yao.
Hii nchi tuna laana sio bure!
 
Usijisumbue kwenda Kariakoo kununua mzigo ukidhani Kuna bei nafuu
Kariakoo wamejaa wajanja na madalali tu
Unaweza ingia kwenye duka ukamkuta mwenye duka ukamuuliza bei akakuelekeza uongee na vijana wake wakuumize
Nyie watu situka Kariakoo hakufai kabisa, mawinga wameharibu uaminifu.

Matajiri wanauchukulia wateja kama wajinga, wanajua kuwa mtaenda tu.

Sasa naomba niwape machimbo mapya Kwa Dar

1. Kwa wale wa electronics nenda Tegeta pale Kibo complex utapata bei ambayo Kariakoo haipo

Pia nenda Mbagala rangi Tatu utapata electronics zote, kuanzia Tv, simu, cable

2. Nguo nenda Mwenge au Makumbusho

3. Mitumba
Usijaribu kwenda Karume au Ilala tena
Kwa mitumba ya bei nafuu, mabalo za rejareja nenda Tandika, Temeke, Tandale na Mwenge

Kanda ya ziwa, machimbo yapo Katoro

Kwa machimbo mengine, tujaribu ku share.

Ila chonde chonde Kariakoo utaishia kupandiliwa na kupigwa bei ya maana.

Kariakoo nilikuwepo Jana, nikahairisha kuchukua mzigo kisa mawinga
KATORO-Geita uhakika
 
Usijisumbue kwenda Kariakoo kununua mzigo ukidhani Kuna bei nafuu
Kariakoo wamejaa wajanja na madalali tu
Unaweza ingia kwenye duka ukamkuta mwenye duka ukamuuliza bei akakuelekeza uongee na vijana wake wakuumize
Nyie watu situka Kariakoo hakufai kabisa, mawinga wameharibu uaminifu.

Matajiri wanauchukulia wateja kama wajinga, wanajua kuwa mtaenda tu.

Sasa naomba niwape machimbo mapya Kwa Dar

1. Kwa wale wa electronics nenda Tegeta pale Kibo complex utapata bei ambayo Kariakoo haipo

Pia nenda Mbagala rangi Tatu utapata electronics zote, kuanzia Tv, simu, cable

2. Nguo nenda Mwenge au Makumbusho

3. Mitumba
Usijaribu kwenda Karume au Ilala tena
Kwa mitumba ya bei nafuu, mabalo za rejareja nenda Tandika, Temeke, Tandale na Mwenge

Kanda ya ziwa, machimbo yapo Katoro

Kwa machimbo mengine, tujaribu ku share.

Ila chonde chonde Kariakoo utaishia kupandiliwa na kupigwa bei ya maana.

Kariakoo nilikuwepo Jana, nikahairisha kuchukua mzigo kisa mawinga
Niliishawahi kuliongelea hilo
 
Back
Top Bottom