Kariakoo hakuna machimbo tena, kwa atakayepuuza sitaongea tena

Kariakoo hakuna machimbo tena, kwa atakayepuuza sitaongea tena

Ukosefu wa ajira ndo umeleta hawa inzi saiv nchi hii ukiwa na hela unashindwa kuenjoy kwa kununua vitu vizur kisa hawa inzi wanajiita mawinga hapo kariakoo mm nilitoka bila kununua chochote nikasema hebu nipite na hapo karume yaani balaa la soko la karume kipindi hiko kabla halijaungua lilikuwa mbadala wa kariakoo na hao inzi hawakuwepo.Saiv karume kumejaa vibaka wanaosumbua watu, unakuwa unanunua huku unalinda mali mfukoni maana sio kwa hao nzi waliokuzunguka.Napo pia niliishia kushangaa nikapanda gari nikaondoka🤗.Mjini daslam kumevamiwa vijana wakimaliza chuo hawataki kurudi makwao. Goli moja mawinga 7 au 8 yaani ni viroja🥱

Alafu ni nani aliyewaambia kuwa mm nimetoka nyumbani nakuja mjini alafu ww inzi mmoja unajifanya tour guide( dalali). Nchi imechafuka madalali stendi, madalali masokoni kwenye nyumba na viwanja ndo balaa ni inzi everywhere🥴
Wajinga kweli hao yani mtu umetoka Nyumbani kwenda kununua vitu utaku mtu anakufata na kukuuliza yani anajifanya mwenyeji kuliko wewe mzaliwa wa jiji, Wateja wengine atutaki kelo na usumbufu kwasababu tunajua kilicho tupeleka na tumejipanga ki pesa na tunazo, sasa utaku mtu anatokea kusikojulikana anaanza kusumbua Nyinyi Mawinga siyo kila mteja anw njaa wengine tuna pesa zetu hatutaki kelo wenye pesa hawaki kelele na pesa hazitaki fujo na kelo, kwahiyo mtuache tuzunguke tuangalia bidhaa tukiipenda tunalipia tu.
 
Wajinga kweli hao yani mtu umetoka Nyumbani kwenda kununua vitu utaku mtu anakufata na kukuuliza yani anajifanya mwenyeji kuliko wewe mzaliwa wa jiji, Wateja wengine atutaki kelo na usumbufu kwasababu tunajua kilicho tupeleka na tumejipanga ki pesa na tunazo, sasa utaku mtu anatokea kusikojulikana anaanza kusumbua Nyinyi Mawinga siyo kila mteja anw njaa wengine tuna pesa zetu hatutaki kelo wenye pesa hawaki kelele na pesa hazitaki fujo na kelo, kwahiyo mtuache tuzunguke tuangalia bidhaa tukiipenda tunalipia tu.
Nimekuelewa sana kamanda
 
Wajinga kweli hao yani mtu umetoka Nyumbani kwenda kununua vitu utaku mtu anakufata na kukuuliza yani anajifanya mwenyeji kuliko wewe mzaliwa wa jiji, Wateja wengine atutaki kelo na usumbufu kwasababu tunajua kilicho tupeleka na tumejipanga ki pesa na tunazo, sasa utaku mtu anatokea kusikojulikana anaanza kusumbua Nyinyi Mawinga siyo kila mteja anw njaa wengine tuna pesa zetu hatutaki kelo wenye pesa hawaki kelele na pesa hazitaki fujo na kelo, kwahiyo mtuache tuzunguke tuangalia bidhaa tukiipenda tunalipia tu.
We kama una pesa mkuu Zamia mlimani city njoo Mayfair plaza pale, nenda shoppers au njoo masaki hapa kuna plaza flani hivi inaitwa height tower sijui. Ila neno height lipo
Huko husumbuliwi.. ukija kariakoo tunakula na wewe sahani moja
 
Usijisumbue kwenda Kariakoo kununua mzigo ukidhani Kuna bei nafuu
Kariakoo wamejaa wajanja na madalali tu
Unaweza ingia kwenye duka ukamkuta mwenye duka ukamuuliza bei akakuelekeza uongee na vijana wake wakuumize
Nyie watu situka Kariakoo hakufai kabisa, mawinga wameharibu uaminifu.

Matajiri wanauchukulia wateja kama wajinga, wanajua kuwa mtaenda tu.

Sasa naomba niwape machimbo mapya Kwa Dar

1. Kwa wale wa electronics nenda Tegeta pale Kibo complex utapata bei ambayo Kariakoo haipo

Pia nenda Mbagala rangi Tatu utapata electronics zote, kuanzia Tv, simu, cable

2. Nguo nenda Mwenge au Makumbusho

3. Mitumba
Usijaribu kwenda Karume au Ilala tena
Kwa mitumba ya bei nafuu, mabalo za rejareja nenda Tandika, Temeke, Tandale na Mwenge

Kanda ya ziwa, machimbo yapo Katoro

Kwa machimbo mengine, tujaribu ku share.

Ila chonde chonde Kariakoo utaishia kupandiliwa na kupigwa bei ya maana.

Kariakoo nilikuwepo Jana, nikahairisha kuchukua mzigo kisa mawinga
Na price discrimination sababu YA wingas
 
Machimbo yapo mengi sana wewe ndio huyajui:
Kitabu hicho hapo: WhatsApp: 0612607426/0687746471
IMG-20241129-WA0000.jpg
 
Chukua machimbo ya biashara ukafanye biashara (Namba za simu 600 za machimbo na location zake)!

KINAUZWA
Kitabu cha Machimbo ya Biashara
Kitabu chenye machimbo 600 ya biashara kwa TSH 15,000 tu!

Kitabu hiki kina namba za simu 600 za wauzaji wa bidhaa kwa bei nafuu, jumla na rejareja.

Jinsi ya kukipata WHATSAPP: 0612607426
CALL: 0687746471

Unaweza kupakua kitabu hiki kupitia link hii:

Kwa msaada wa kupakua, wasiliana kupitia:
WhatsApp: 0612607426
Call: 0687746471

Kitabu kina sura 68 kama ifuatavyo:

Sura ya 1 hadi 5: Machimbo ya nguo za watoto, vifaa vya ofisini (stationery), vifaa vya ujenzi (hardware), dawa (pharmacy), na vinywaji.

Sura ya 6 hadi 10: Kahawa, maremba, vifaa vya mazoezi, miwani, na nywele bandia kama rasta na wigs.

Sura ya 11 hadi 20: Shati za shifoni, viatu, kofia, gauni za usiku, vitambaa vya masofa, hereni na cheni, vyombo vya jikoni, na vifaa vya michezo.

Sura ya 21 hadi 30: Pajamas, balo za mitumba, masweta, maturubai, pipi, jeans, jezi, na vifaa vya kufungashia.

Sura ya 31 hadi 40: Toys, T-shirts, diaper, bidhaa za supermarket, manukato, madera, mitandio, abaya, hijabu, na vitenge.

Sura ya 41 hadi 50: Khanga, vitambaa vya kushona, vipodozi, nguo za watoto, pochi, vifaa vya simu, mikeka, bidhaa za wachina, na sufuria sets.

Sura ya 51 hadi 60: Chupa za maji, midoli, lubricants za magari, maduvets, mashuka, mapazia, majora ya mapazia, T-shirts zinazotrend, na bidhaa za ubuyu wa Zanzibar.

Sura ya 61 hadi 68: Maua artificial, pipi, vifaa vya masofa, bidhaa za mitumba, vifaa vya kuandaa keki, na bidhaa kutoka kwa wachina moja kwa moja.
 
N
Mi niko kkoo huu ni mwaka 25 mkuu na kwasasa soko linaendeshwa na mawinga. Usipokubali mabadiliko ni kwamba umejiandalia kifo. Na kwa taarifa yako kkoo inategemea zaid wateja wa nje ya nchi sio ndani. So wewe endelea kuishi kwa kukariri maisha wakat wenzio wanavuka ukija kustuka uanze kuilaumu serikali. Maisha lazima ule na watu babu kama unataka kwenda mbali. Kama unataka kwenda karibu kula mwenyewe. Mi nawatumia winga tangu naanza biashara kkoo na wao wanakula na mimi natembea. Winga wananipa idea mipango na sote tunapata maisha yanaenda. We jifanye boss ubaki kuitwa mwenye duka milele. Ctaki huo
Me nataka winga wako umlipe mshahara atafute wateja walioko majumbani
Yaani mtu kajileta dukani kwako kununua simu ambayo unauza labda laki 4 wewe unamweka mteja wako midomoni mwa winga wanampiga laki 7 Bado unaona ni raha
Wafanyabiashara wakimataifa watawahama wawe wanachukua mizigo miji mingine
Noma sana!
 
Una kuja kiboya boya Kariakoo , unataka Jobless WA Magufuli tupate wapi visenti vya kupoza minyoo ya njaa kali kwenye vitambi vyetu ?
Acheni ujinga kutulaumu mawinga , ukiwa boya lazima upigwe ,na utapigwa sana tu ,hamna namna
 
Back
Top Bottom