CONTRARIAN
JF-Expert Member
- Jun 21, 2023
- 982
- 3,137
Unabishana huku, ukitoka unakuja kusumbua watu wakubebe mitaroni baada ya kulewa ulanzi wako.Kwanza umekurupuka, pale hakuna kituo cha mafuta
Pili hakuna soko pale
Tatu moto umeanzia mnadani
Mbona nipo jamaniMarhaba D, uliadimika kipindi
Wanamagari ya maenesho ila siyo ya kuzimia moto ingekua Nchi nyingine wakija nama skrepa yao hayana maji mnatia kiberiti na kuwalamba shaba za matakoPale ni karibu sana na makao makuu ya jeshi la zimamoto na uokoaji aka "fire".
Hatutarajii watatuma gari isiyo na maji
Mikopo mingi ya Kariakoo ni ya watu sio Bank maana muda wowote akitaka pesa anapata ni dhamana yake ukitaka kiasi chochote wanakupa ila hayo marejesho yake ni nyonya damu hao ndio kichefuchefu inapotokea jambo kama hili maana Mkopeshaji anafurahi ili achukue dhamana bure tuu...Bank hapo wataelewa na muda mwingine kama ulikua mlipaji mzuri wa marejesho yako unakopeshwa kidogo tena ili mambo yaende na kupewa muda wa miezi miwili ili uanze kulipa ila sio wale wahuni kesho vinaanza vikao itakuaje hela yao kana kwamba umechoma Duka lako...Inaumiza na hapo watu wana mikopo bank 😭
Kama Nero Alipounguza Mji wa Roma😭Yatakiwa moto mkubwa utokeee kama ule wa Hawaii ili mji upangwe upya vizuri
Hajakurupuka anamaanisha Kariakoo yote hakukupaswa kuwa na soko.Kwanza umekurupuka, pale hakuna kituo cha mafuta
Pili hakuna soko pale
Tatu moto umeanzia mnadani
Huo moto wa mchongo , watu Wana Misheni zao , kariakoo usiende kuchukua frem au stoo kichwa kichwa kabla hujaonana na makontawa , utatiwa hasara moja si ya nchi hiiHajakurupuka anamaanisha Kariakoo yote hakukupaswa kuwa na soko.
Pili, Big Bon ni kituo cha mafuta na hayo magorofa ni ya big bon na hiyo benki iliyonusurika ni ya big bon , mbaya zaidi big bon amejenga maduka ya kawaida kuzunguka kituo kitu ambacho ni hatari sana kwa usalama wake na wenye kuja kununua bidhaa.
Huo moto wa mchongo , watu Wana Misheni zao , kariakoo usiende kuchukua frem au stoo kichwa kichwa kabla hujaonana na makontawa , utatiwa hasara moja si ya nchi hii
Ingia kwenye mrija nawe unyonye, sio kuonea wivu wenzakoMambo mengi tz yanaendeshwa kisenge senge sana. Juzi niliiskia kwenye ofisini moja ya umma mtu mmoja (mkuu kikazi) anamwambia mtu mwingine (mdogo kikazi) aliekuwa amempelekea formu fulani hivi eti "hapo andaa orodha yoyote ya watu kama 10 ionekane wao ndio walishusha huo mzigo, halafu fulani (jina) asaini.
Yule mdogo nikasikia akamwambia mkubwa "tatizo fulani(jina) yupo mwanza"
Mkubwa "Utasaini jina lake"
Nikabaki nasema kimoyo moyo "kmmke hii nchi ya kisenge sana