Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafremu Gani wewe...mwenye fremu hawezi kua na akili za kikima kama ulizo nazo wewe..Haujui kitu wew mie mwenyew nimeunguziwa fremu hapo
kwani moto una siku maalumu ya kuwaka?Kwanini uwake jumapili sasa
Kwa akili yako Ule mzigo anaouza Machinga ni wake?????[emoji1787][emoji1787] bado hujakua kiakili endelea kujifunza taratibu aisee.Yaani hao machinga wajinga wajinga wanaziba mpaka njia unawaita walipa kodi??? Yaani hao wanatakiwa wafukuzwe wote. Yaani haiwezekani hata kupita tu kariakoo eti bega kwa bega. Hivi nani ananunua hizo bidhaa. Siku ikitokea majanga mtasema. Wakifa hata watu mia tano au elfu kisa msongamani ndiyo mtakuja kusema eti serikali haijasaidia. Hao wajinga wote waondoshwe ili kariakoo ibaki peupe
Why!??Safi sana yaani saana
Tatizo la Kariakoo ni Siasa na ndo maana Soko la Ubungo litawaumiza Kariakoo sana
Watu hawakosekani
Nyumba tu zile zilizopimwa kulikuwa na nafasi za ziada wakaja wabongo wakaziziba wakazimiliki na kuunganisha,kujenga kuongeza vijumbaKama viwanja havijapimwa wategemea nini?
Kweli kabisaYatakiwa moto mkubwa utokeee kama ule wa Hawaii ili mji upangwe upya vizuri
Ehe wanasemajeKuna washkaji wana maduka yao mitaa ya jirani na hapo ngoja niwasikilizie kama wameguswa na hili janga.
Ngoja mchina afungue ubungo kkoTatizo la Kariakoo ni Siasa na ndo maana Soko la Ubungo litawaumiza Kariakoo sana
Kituo cha mafuta kilikuwaga total tu hapoHV Nani aliruhusu kituo Cha sheli kijengwe ktkt ya soko
Huu Ni upupambu Sana hiki tu ni kibaya Sana
I wish I could be a president Kuna watu wangetezeka mno
Sheli ktkt ya soko ,wangeenda kuweka karibu na ikulu Kama wao watataka
Kumbe mnajuana deals zenu eeh!!Benki zishapigwa hapo tayari huu ujanja ujanja umebaki bongo tuu.
Marhaba D, uliadimika kipindiNjema babu, shikamoo
AminDaah mambo ya moto ni hatari sana aisee...life hii tena upoteze mtaji Mwenyezi Mungu awasimamie kwa kweli..
dharau kama hizi mpaka lini mzee wangu TumainiEl😂 Ye amekuwa nani...?
Wapo watu wamefundwa na wanaujuzi juu ya hayo mambo vipaji maalum hivyo huyo anawahadaa na utabiri wake wa hovyohovyo