Kariakoo: Moto Mkubwa unawaka Msimbazi

Kariakoo: Moto Mkubwa unawaka Msimbazi

Hee, umeniwahi, yaani fremu za biashara alafu eti kuna NEMC?
Hii nchi nakwambia atafutwe mtoto wa MAGUFULI AONGOZE tu.

Kituo cha mafuta kinajazwa maduka? hivi moto ukitokea siku za kazi pale si mauaji ya halaiki?

Hamna kituo cha mafuta pale
 
CCM inachoweza ni wizi wa kura na kuitana kwenye madaraka na kukejeli wananchi.

Maswala mengi muhimu yanayogusa maslahi ya raia imeshindwa kuyatatua. Swala la zimamoto ilikuwa ni ishu ya kununua gari za kutosha zikae kila mtaa.
Napendaga unavotema madini
 
Habari za awali: Moto mkubwa ambao bado chanzo chake hakijajulikana, unaunguza maduka ya wafanyabiashara Kariakoo karibu na kituo cha mafuta cha Bigbon Msimbazi, jijini Dar es Salaam.

Jeshi la Zimamoto na Uokoaji linaendelea jitihada kudhibiti moto huo, huku wafanyabiashara wakiendelea kuokoa baadhi ya bidhaa zao.

View attachment 2768279
View attachment 2768304
View attachment 2768357
Mungu wangu hakuna vifo na majeruhi kweli hapo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha uwake tu tena uwake uunguze vitu. Yaani kariakoo ni eneo la kijinga sana hakuna mpangilio wa kitu chochote, siyo maduka makubwa wala machinga, yaani siku ikitokea fujo watu watakufa sana. Nashauri serikali iwafukuze chinga wote wanaopanga barabarani waondoke kariakoo iwe safi
Tatizo ni siasa na wanasiasa
 
Naona BOA Bank hapo chini...Hv huu sio mpango kweli wajanja wamesha piga mpunga BOA Bank then wanalipua moto waje kusema pesa ziliungua ama watu wapemepita nazo ktk harakati za kuuzima moto?...ama walishapiga kitamboooo

Sijui nawaza Nini Mimi...kichwa maji mimi
Moto umeanzia mnadani na sio hapo ma ndo maana benki haijaguswa na moto, pia benki hazikai na pesa, pesa hupelekwa makao makuu na kurudishwa asubuhi
 
It is so sad tuna 60 yrs ya uhuru- akuna fire fighting water network si Dodoma ambapo mji mkuu upo wala Dar wala Arusha[emoji24][emoji24][emoji24]Bila haya makitu kwenye mitaa na barabara zetu Daima tutawalaumu fire dept kwani atupo makini na mipango miji yetu
Kama viwanja havijapimwa wategemea nini?
 
Miaka ya 80 Dar es salaam karibia yote ilikuwa ma network za maji kwa ajili ya kuzima moto! Mpaka manzese huko kulikuwa na hizi systems, pale kwenye gorofa za Urafiki kulikuwa na fire hydrants kila baada ya forofa moja! Nimetembelea Kigamboni kule kwenye miradi ya nyuma sijaona fire hydrants. Ata Kule Nungwi Zanzibar , Arusha sijaona, Dodoma pia sehem nyingi sijaona- Tanzania tutaendelea kufirisiwa na Majanga ya Moto mpaka pale tutakapo kuwa makini na mipango miji iliyokuwa sahihi
Yatakiwa moto mkubwa utokeee kama ule wa Hawaii ili mji upangwe upya vizuri
 
Back
Top Bottom