Kariakoo: Moto Mkubwa unawaka Msimbazi

Kariakoo: Moto Mkubwa unawaka Msimbazi

Duh poleni sana.

Mpaka hair dye atakuja tena na kamati yake ya uchunguzi kumbe ni chaka la wajanja kupiga pesa.
 
Kuna washkaji wana maduka yao mitaa ya jirani na hapo ngoja niwasikilizie kama wameguswa na hili janga.
 
Yaani hao machinga wajinga wajinga wanaziba mpaka njia unawaita walipa kodi??? Yaani hao wanatakiwa wafukuzwe wote. Yaani haiwezekani hata kupita tu kariakoo eti bega kwa bega. Hivi nani ananunua hizo bidhaa. Siku ikitokea majanga mtasema. Wakifa hata watu mia tano au elfu kisa msongamani ndiyo mtakuja kusema eti serikali haijasaidia. Hao wajinga wote waondoshwe ili kariakoo ibaki peupe
Tatizo la Kariakoo ni Siasa na ndo maana Soko la Ubungo litawaumiza Kariakoo sana
 
Naona BOA Bank hapo chini...Hv huu sio mpango kweli wajanja wamesha piga mpunga BOA Bank then wanalipua moto waje kusema pesa ziliungua ama watu wapemepita nazo ktk harakati za kuuzima moto?...ama walishapiga kitamboooo

Sijui nawaza Nini Mimi...kichwa maji mimi
😅🖖🏾
 
Kawaida yetu. Siku ya Simba Day ili tushinde ilipasa tulipuju tqkner la mafuta Ubungo. Leo kufuzu klabu bingwa Africa lazima kariakoo iteketee!
 
Wataondolewa endapo soko litakamilika
Kuondolewa kwa machinga hakuna uhusiano kwa soko.
Masoko yako mengi ila wanasiasa wanatumia kama wapiga kura wao.
Soko la magomeni lipo wazo , Machinga ipo wazi ila wamezoea kukaa nje na chini, hawataondoka hata kila mtaa kujengwe soko wataendelea kutumiwa na wanasiasa.
huu ni ugonjwa wa nchi zote maskini.
 
Acha uwake tu tena uwake uunguze vitu. Yaani kariakoo ni eneo la kijinga sana hakuna mpangilio wa kitu chochote, siyo maduka makubwa wala machinga, yaani siku ikitokea fujo watu watakufa sana. Nashauri serikali iwafukuze chinga wote wanaopanga barabarani waondoke kariakoo iwe safi
watu mafukara huonekana kirahisi kwenye fikra zao.
 
Back
Top Bottom