Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi hawajui hilo.Bank pesa haziibiwi kijinga namna hii mkuu.Hata bank iwake moto uwezekano wa pesa kuungua ni mdogo sana.Hakuna mtu anaweza vunja vault za pesa kama hana cressidential za kufungua
Itaanza ungua ya dodomaHivi nchi hii moto unaanza kuwaka saa moja asubuhi hadi hii saa tano hakuna dalili za kuuzima.
Kuna siku Ikulu itateketea hivi hivi.
Wale wanaongea pekeyao barabarani tusiwashangae mkuuMkuu biashara na maisha kwa ujumla ni risk nje nje sana
Tatizo la Kariakoo ni Siasa na ndo maana Soko la Ubungo litawaumiza Kariakoo sanaYaani hao machinga wajinga wajinga wanaziba mpaka njia unawaita walipa kodi??? Yaani hao wanatakiwa wafukuzwe wote. Yaani haiwezekani hata kupita tu kariakoo eti bega kwa bega. Hivi nani ananunua hizo bidhaa. Siku ikitokea majanga mtasema. Wakifa hata watu mia tano au elfu kisa msongamani ndiyo mtakuja kusema eti serikali haijasaidia. Hao wajinga wote waondoshwe ili kariakoo ibaki peupe
Hakuna kifo wala majeruhi ila kuna watu wamepelekwa muhimbili kwa mshituko wa moyo.
Yaan watalia, na kodi zitashuka sana pale Kariakoo.Tatizo la Kariakoo ni Siasa na ndo maana Soko la Ubungo litawaumiza Kariakoo sana
Acha iteketee tu kwasababu hiyo mitaji yote ni ya upigaji na kafra.MITAJI YA WATANZANIA WENZETU INATEKETEA!
😅🖖🏾Naona BOA Bank hapo chini...Hv huu sio mpango kweli wajanja wamesha piga mpunga BOA Bank then wanalipua moto waje kusema pesa ziliungua ama watu wapemepita nazo ktk harakati za kuuzima moto?...ama walishapiga kitamboooo
Sijui nawaza Nini Mimi...kichwa maji mimi
Wataondolewa endapo soko litakamilikaHao chinga wanasababisha ukwepaji wa kodi. Waende mchinga complex. Yaani kuna siku nimepita yaani siyo ile kariakoo ya zamani kwa sasa imejaa wakwepa kodi
Ulipaji wa kodi Tanzania kwani ina impact gani? Ungesema labda wafadhili ama wahisani watasitisha.Yaan watalia, na kodi zitashuka sana pale Kariakoo.
Pale zile frame zote zatakiwa zibomoleweNilishangaa pale big bon wamejenga frem ingawa niliona maandishi ya kuzuia ujenzi lakini tayari lilishakamilika. Baadae wataunda time.
LC 300 za milioni 500 kwa gari moja si inatokana na hizo kodi?Ulipaji wa kodi Tanzania kwani ina impact yani. Ungesema labda wafadhili ama wahisa watasitisha
Huyo afisa na NEMC aliyeruhusu kupokea rushwa na zile frem zijengwe muda huu ZUHURA YUNUS anaandaa PDF, hapaswi kuwa ofisini.Pale zile frame zote zatakiwa zibomolewe
Kuondolewa kwa machinga hakuna uhusiano kwa soko.Wataondolewa endapo soko litakamilika
watu mafukara huonekana kirahisi kwenye fikra zao.Acha uwake tu tena uwake uunguze vitu. Yaani kariakoo ni eneo la kijinga sana hakuna mpangilio wa kitu chochote, siyo maduka makubwa wala machinga, yaani siku ikitokea fujo watu watakufa sana. Nashauri serikali iwafukuze chinga wote wanaopanga barabarani waondoke kariakoo iwe safi
Hapana ni hela za wafadhili. Kodi zetu haina impact kivile.LC 300 za milioni 500 kwa gari moja si inatokana na hizo kodi?
Haifiki mita 200Mbali kabisa