CONTRARIAN
JF-Expert Member
- Jun 21, 2023
- 982
- 3,137
Kwahio ukitoa Pesa kwenye ATM usiku yale ni magazeti au kiini macho?Moto umeanzia mnadani na sio hapo ma ndo maana benki haijaguswa na moto, pia benki hazikai na pesa, pesa hupelekwa makao makuu na kurudishwa asubuhi